Twaha Mwaipaya: Nimejiridhisha kwa 100% kwamba nafuatiliwa na watu wabaya, wenye malengo mabaya dhidi yangu

Twaha Mwaipaya: Nimejiridhisha kwa 100% kwamba nafuatiliwa na watu wabaya, wenye malengo mabaya dhidi yangu

Mkwawa alikufa kibudu lakini Nyerere kawa Waziri Mkuu wa Kwanza Mwafrika na Rais wa kwanza Mwafrika Tanganyika.
Mkuu samahani lakini...

Nyerere atabaki na heshima yake kubwa kwani yako wazi aliyoyafanya [emoji2956]

Lakini kumuita mtu yeyote kibudu si utu juu ya nafsi zetu....

Iwe kwa chifu Mkwawa ?!! [emoji44][emoji44]

Mababu zako wa familia walifariki na hawakuwa VIBUDU.....

Shukran mkuu wangu!

#Peace & Love
 
Uwaziri mkuu aliachiwa tu na Wazee wa Saigon
Si hao wazee wa Saigon pekee waliofanya makubwa ya kulikomboa taifa hili....

Nyerere atatajika...
Wazee wa Saigon watatajika....

Na wengi hawakutajwa ,hawatatajwa lakini ardhi ya Tanganyika itawataja siku zote kwa sauti zisizosikika na binadamu bali NDEGE ,WADUDU ,WANYAMA NA MITI....

#JMT Milele
 
Na wewe siku ya kufa ikifika utakufa tu hata uwekewe Ulinzi wa Madaktari,Mapolisi,Wanajeshi na hata Wachawi au Waganga wa Kienyeji utakufa tu.Magufuri hakupenda Tundu Lissu aishi lakini cha ajabu alitangulia yeye na machawa wake bado msiba haujaisha.
Wewe hata huna unaloelewa.kwahiyo unamsihi twaha apambanie kufa ili miendelee kulalamika mtandaon?

Hivi kwa jinsi mlivyo mazezeta mtaanza ooh ulimwengu wa kimataifa ooh misaada isitishwe.hivi ulimwengu huu ulivyojaa mabepari unadhan kuna wakukusikia?

Masikini kijana Soka amepotea na kuiacha familia kwenye mateso huku wenzie wakiwa weekend majumbani mwao wanachoma kuku kwa mrija.

Sawa pambana ili wakuteke alafu wenzio waweke bundle kukutetea Jf na X
 
HAkika mkuu.. mi ningeshauri vyama vya upinzani viachane na biashara kichaa ya kuwatetea wananchi..mpka pale ambapo wananchi wangejitambua na kuanza kupigania haki zao. Kuna umuhimu gan wa kuhatarisha maisha yako na familia yako kwa watu ambao hawajali?? Hata mkikamatwa hawaandamani kushinikiza mtolewe
Wanatetea wananchi au wanafanya kwa maslahi yao!!? Kila mmoja anavutia upande wake akishapata inakuwa yale yale 'mwenye shibe hamjui mwenye njaa'
 
Kama mmepanga kuniteka msitumie nguvu kubwa mpaka kuja nyumbani kwangu na kudanganya mambo mengi, najua hakuna atakae ishi milele ila endapo mtatoa roho yangu wapeni fursa ndugu zangu ya kuzika mwili wangu, yule kijana mliemtuma jana saa 5:00 asubuhi alievaa kapero na T-shirt nyekundu mwambieni asirudi tena nyumbani kwangu tutagawana majengo ya Serikali.

Kikosi kazi cha Utekaji na Mauaji ya Wanaoikosoa Serikali ya CCM, Kinachoongozwa na Faustin Mafwele (Kama tulivyodokezwa na Freeman Mbowe), Kingali kazini.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Dar es Salaam kuna kikosi kazi cha utekaji

Anayefuatia kutekwa na kuuawa ni Kiongozi wa Bavicha mwenye Ushawishi Twaha Mwaipaya .


Lakini Je, Wataua Wangapi na wao wataishi hadi lini?
Iyo alert asiipuuzie soon tutamkosa
 
Kama mmepanga kuniteka msitumie nguvu kubwa mpaka kuja nyumbani kwangu na kudanganya mambo mengi, najua hakuna atakae ishi milele ila endapo mtatoa roho yangu wapeni fursa ndugu zangu ya kuzika mwili wangu, yule kijana mliemtuma jana saa 5:00 asubuhi alievaa kapero na T-shirt nyekundu mwambieni asirudi tena nyumbani kwangu tutagawana majengo ya Serikali.

Kikosi kazi cha Utekaji na Mauaji ya Wanaoikosoa Serikali ya CCM, Kinachoongozwa na Faustin Mafwele (Kama tulivyodokezwa na Freeman Mbowe), Kingali kazini.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Dar es Salaam kuna kikosi kazi cha utekaji

Anayefuatia kutekwa na kuuawa ni Kiongozi wa Bavicha mwenye Ushawishi Twaha Mwaipaya .


Lakini Je, Wataua Wangapi na wao wataishi hadi lini?
Izi KIK za kutekwa ifike mahala tuseme basi
 
Wa Dr Ulimboka na Chacha Wangwe?🐼
Hivi chama tena cha upinzani,kinaweza kikafanya mauaji halafu serikali ishindwe kuwabaini au huwa inawasamehe?
Chacha wangwe kuna baadhi ya watu wanasema aliuawa na CHADEMA,Ben Saa8 pia,halafu hata shambulio la Lissu pia,eti CHADEMA kinahusika,mi mbona ntaidharau serikali sana,eti chama kiishinde serikali,duuh!
 
Twaha Mwaipaya, kaa kivita all the time....

Chukua tahadhari kila unapopita na kwenda..

Hakikisha kila unapoenda kazini kwako au kwenye shughuli zako za kutafuta mkate una watu kushoto, kulia, nyuma na mbele wanakupa kampani....

Usikubali kuitikia wito wowote wa simu kwenda popote. Kama ni polisi, chukua tahadhari zote kujiridhisha kuwa wanaokuhitaji ni polisi kwelikweli isije ikawa ni polisi wale bandia, majambazi na magaidi...
 
Kama mmepanga kuniteka msitumie nguvu kubwa mpaka kuja nyumbani kwangu na kudanganya mambo mengi, najua hakuna atakae ishi milele ila endapo mtatoa roho yangu wapeni fursa ndugu zangu ya kuzika mwili wangu, yule kijana mliemtuma jana saa 5:00 asubuhi alievaa kapero na T-shirt nyekundu mwambieni asirudi tena nyumbani kwangu tutagawana majengo ya Serikali.

Kikosi kazi cha Utekaji na Mauaji ya Wanaoikosoa Serikali ya CCM, Kinachoongozwa na Faustin Mafwele (Kama tulivyodokezwa na Freeman Mbowe), Kingali kazini.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Dar es Salaam kuna kikosi kazi cha utekaji

Anayefuatia kutekwa na kuuawa ni Kiongozi wa Bavicha mwenye Ushawishi Twaha Mwaipaya .


Lakini Je, Wataua Wangapi na wao wataishi hadi lini?
mpka muishe
 
Back
Top Bottom