Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Maana yake hata ya korosho ilikuwa fakeKaandika hivi kupitia twitter:
Nawapongeza wanasiasa mliotunukiwa shahada za uzamivu,udaktari wa falsafa.Nawafahamu mna uwezo mkubwa.Lakini inawezekana kweli ukawa Mbunge na Waziri, ukapata muda wa utafiti na kuandika tasnifu.Hata ya uzamili ni kazi sana.Swali kwa Vyuo Vikuu, je vigezo au viwango vimebadilika?
Kaandika hivi kupitia twitter:
Nawapongeza wanasiasa mliotunukiwa shahada za uzamivu,udaktari wa falsafa.Nawafahamu mna uwezo mkubwa.Lakini inawezekana kweli ukawa Mbunge na Waziri, ukapata muda wa utafiti na kuandika tasnifu.Hata ya uzamili ni kazi sana.Swali kwa Vyuo Vikuu, je vigezo au viwango vimebadilika?
Unadhani naye atatekwa na kuwekwa kwenye sandarusi ?Kaandika hivi kupitia twitter:
Nawapongeza wanasiasa mliotunukiwa shahada za uzamivu,udaktari wa falsafa.Nawafahamu mna uwezo mkubwa.Lakini inawezekana kweli ukawa Mbunge na Waziri, ukapata muda wa utafiti na kuandika tasnifu.Hata ya uzamili ni kazi sana.Swali kwa Vyuo Vikuu, je vigezo au viwango vimebadilika?
Hapana, huyu ni kada mwenzao, hawawezi kumtendea hivyo labda tu kuitwa kwenye vikao na kisha kunyamazishwa.Unadhani naye atatekwa na kuwekwa kwenye sandarusi ?
Hapana, huyu ni kada mwenzao, hawawezi kumtendea hivyo labda tu kuitwa kwenye vikao na kisha kunyamazishwa.
Njaa mbaya sana sana acheni tu
UDOM imejishusha hadhi kwa sana tu.PhD za fast nenda UDOM hakika hauta jutia maamuzi yako na utakuja kunishukuru baadaye
Ukipata usajiri hesabu unayo. Pale ni kama ndoa unapewa cheti kabla hujaanza shule.PhD za fast nenda UDOM hakika hauta jutia maamuzi yako na utakuja kunishukuru baadaye
Namheshimu sana Professor Mark Mwandosya na sina wasiwasi kuhusu IQ yake Kubwa ila wanachonishangaza na Kuniudhi zaidi hawa Wasomi na Wastaafu ni kwamba wakiwepo ndani ya Mfumo hawasemi lolote ( hawakemei ) ila wakitoka na kukosa 'Ulaji' na 'Njaa' kuanza Kuwaingia Mifukoni mwao ndiyo utaona Akili zao zinawarudi na wanajifanya Kukemea na Kuhoji Masuala ( Issues ) nchini. Nachukia sana Unafiki.Kaandika hivi kupitia twitter:
Nawapongeza wanasiasa mliotunukiwa shahada za uzamivu,udaktari wa falsafa.Nawafahamu mna uwezo mkubwa.Lakini inawezekana kweli ukawa Mbunge na Waziri, ukapata muda wa utafiti na kuandika tasnifu.Hata ya uzamili ni kazi sana.Swali kwa Vyuo Vikuu, je vigezo au viwango vimebadilika?
Huwa sio njaa ila huwa zimepungua kuongezeka ,, !!Namheshimu sana Professor Mark Mwandosya na sina wasiwasi kuhusu IQ yake Kubwa ila wanachonishangaza na Kuniudhi zaidi hawa Wasomi na Wastaafu ni kwamba wakiwepo ndani ya Mfumo hawasemi lolote ( hawakemei ) ila wakitoka na kukosa 'Ulaji' na 'Njaa' kuanza Kuwaingia Mifukoni mwao ndiyo utaona Akili zao zinawarudi na wanajifanya Kukemea na Kuhoji Masuala ( Issues ) nchini. Nachukia sana Unafiki.
Yeye huyo Mwandosya amefanya nini cha maana kwenye taifa letu na PHd yake? Kama sio kufuga nywele na ndevu shagarabagara! Kwaa hiyo alitaka yeye tu awe na PHd?Kaandika hivi kupitia twitter:
Nawapongeza wanasiasa mliotunukiwa shahada za uzamivu,udaktari wa falsafa.Nawafahamu mna uwezo mkubwa.Lakini inawezekana kweli ukawa Mbunge na Waziri, ukapata muda wa utafiti na kuandika tasnifu.Hata ya uzamili ni kazi sana.Swali kwa Vyuo Vikuu, je vigezo au viwango vimebadilika?
dk. jkUkisikia Hangaya na katelefoni nao ma doc wahitimu usijedhani miye nabii ๐๐
Wao wenyewe ndio Eagle team๐ ๐Hao jamaa wamenunua PhD kimkakati ili kujiandaa na urais vs mama au baada ya mama vyovyote iwavyo hii team imeshaonyesha Early aspirations ihujumiwe kidola haraka na eagle team yetu kwa manufaa ya taifa.
Huwa hatuongeia wakati wa kula!!Namheshimu sana Professor Mark Mwandosya na sina wasiwasi kuhusu IQ yake Kubwa ila wanachonishangaza na Kuniudhi zaidi hawa Wasomi na Wastaafu ni kwamba wakiwepo ndani ya Mfumo hawasemi lolote ( hawakemei ) ila wakitoka na kukosa 'Ulaji' na 'Njaa' kuanza Kuwaingia Mifukoni mwao ndiyo utaona Akili zao zinawarudi na wanajifanya Kukemea na Kuhoji Masuala ( Issues ) nchini. Nachukia sana Unafiki.
Walimu vyuoni hapo ndio wanachomokea kimaisha. Wamejifunza UDSM wakufunzi wamepata sana teuzi baada ya wanafunzi wao kupata madaraka makubwa serikalinikama nawaona wale wakufunzi wakiwa katika mipango mkakati ya kutunuku watu ma phd๐
huenda Tanzania ndio wale wagalatia wa zamani walioambiwa, "enyi wagalatia wapumbavu ni nani aliye waloga"