Uchaguzi 2020 Tweet ya Mbowe tayari ni uchochezi, Vyombo vya Dola vimshuhulikie

Uchaguzi 2020 Tweet ya Mbowe tayari ni uchochezi, Vyombo vya Dola vimshuhulikie

abdulhamis

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
1,436
Reaction score
2,296
Mhe. Mbowe anatishia amani ya nchi yetu kwa maslahi yake ya kisiasa kiongozi kuongea neno lolote linaloashiria vurugu na kuvunja amani, huo ni uchochezi.

Mhe. Mbowe leo katumia Ukurasa wake wa Twitter kuandika Maneno ambayo yanaashiria kuhamasisha vurugu na kuitishia Tume ya Taifa ya uchaguzi na kuonyesha nia ya dhati ya kutaka kuingilia mamlaka yao.

Kama siku zote CHADEMA mmekuwa wahubiri wa kutaka watu waheshimu Mamlaka na sheria za nchi basi nyie mnatakiwa muwe mfano. Kwanini mnakuwa na wasiwasi sana juu ya Mgombea wenu?

Kwanini Mgombea wenu aheshimu sheria na Utaratibu uliopangwa kwanini mgombea wenu aheshimu Mahakama.

Binafsi iliniudhi sana kuwaona CHADEMA mnamsapoti Tundu Lissu hata pale alipoitwa na Mahakama na kushindwa kuhudhuria kwa kudai kajiweka karantini halafu akaja kuonekana kwenye mikutano na baadhi ya Maandamano.

Mbowe msiichezee Tanzania kama kweli mnajua hamjavunja sheria kwanini mnakuwa na wasiwasi?

Tume ya uchaguzi kama itamkata Lissu lazima itoe sababu so kabla CHADEMA hamjafanya maamuzi itabidi muipime hiyo sababu na mjiulize, je kaonewa ama la.

Msitutishe nchi hii ni kubwa kuliko CHADEMA na CCM pia uchaguzi sio baina ya CCM na CHADEMA tu bali kuna vyama kibao so CHADEMA mkijitoa uchaguzi bado utakuwepo tena kwa nguvu ile ile.

====

Watanzania wenzangu, tuna masaa 24 kwa NEC kuweka Msingi wa Amani ya Tanzania. Mkakati wowote wa kuengua kwa hila wagombea wetu utapokelewa kwa kishindo kikubwa. #NoLissuNoElection!#SasaBasi! Uzalendo uonyeshwe kwa kusimamia haki na si vinginevyo.

1598337080227.png
 
Tena Mbowe anatakiwa atoe tu maelekezo maana udhalimu wenu CCM umefika kikomo. Kwa mlivhofanya Tunduma cha kuwakatama wagombea udiwani wa Chadema na kuwashtaki kwa ujambazi ili wasirudishe fomu zao ni udhalimu wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kuvumiliwa popote pale.

Watanzania tumewachoka CCM na kwa sasa Tuko tayari kwa lolote dhidi ya CCM.

Lazima mkimbie ofisi za Serikali mwaka huu na tunaanza na tunduma
 
Mh mbowe anatishia Aman ya nchi yetu kwa maslahi yake ya kisiasa kiongozi kuongea neno lolote linalo Ashiria vurugu na kuvunja Aman huo ni uchochezi

Mh Mbowe Leo katumia Ukurasa wake wa Twitter kuandika Maneno ambayo Yana Ashiria kuamasisha Vurugu na kuitishia Tume ya taifa ya uchaguzi na kuonyesha Nia ya dhat ya kutaka kuingilia Mamlaka yao

Kama siku zote chadema mmekua waubili wa kutaka watu waeshim Mamlaka na sheria za nchi Basi nyie mnatakiwa mue mfano. Kwann mnakua na wasi wasi Sana juu ya Mgombea wenu??

Kwanini Mgombea wenu haeshim sheria na Utaratibu ulio pangwa kwanini Mgombea wenu haeshim Mahakama


Binafsi iliniuzi Sana kuwaona chadema mnamsapot Tundulisu hata pale alipo itwa na mahakama na kushindwa kuhudhuria kwa kudai kajiweka karantin alafu akaja kuonekana kwenye mikutano na baadhi ya Maandamano

Mbowe msiichezee Tanzania kama kwel mnajua hamjavunja sheria kwann mnakua na wasiwas
Tume ya uchaguzi kama itamkata lissu lazima itoe sababu so kabla chadema hamjafanya maamuzi itabid muipime io sababu na mjiulize je kaonewa ama laa


Msitutishe nchi hii ni kubwa kuliko chadema na ccm pia uchaguz sio baina ya ccm na chadema tu Bali Kuna vyama kibao so chadema mkijitoa uchaguz bado utakuepo Tena kwa nguvu Ile Ile

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kuandika kwenyewe hujui !!. Halafu ujifanye kuwa msemaji na mshauri wa vyombo vya dola na vya maamuzi ?!. Huko Lumumba pamejaa failure's . Moja wao ni wewe
 
Hivi kwani kuna mtu kasema watamkta Lisu?

Mbona hawa kina Mbowe wanajishtukia sana?
Wanajua wanacho kifanya, wanajua kabisa wamefanya makosa ambayo yanaweza kutumika kuwaondoa kwenye uchaguzi. Hapo wanajihami ili hata wakikatwa kwa makosa yao basi jamii iamini kuwa wanaonewa. Yani wanataka kutuaminisha kwamba maana halisi ya Tume kutenda haki ni lazima wao wapite tu hata Kama wanatenda makosa lakini yasiangaliwe badala yake wapitishe tu lakini kinyume na hapo basi Tume haitendi haki.

Wajue tu kuwa Tume haitoi maamuzi kwasababu ya hivyo vitisho vyao kuvuruga amani asiye fuata utaratibu lazima aadhibiwe.
 
Mnajua nyie bila kuonja machungu, hamuwezi heshimu wengine hivyo endeleeni maana mmejaa viburi kupindukia.

Uzuri wameshawaambia this time tutalia wote.
Usidhani wewe unakinga ili usirest in peace. Kuna watakaolia na watakaorest in peace na uenda ukawa mmojawapo
 
Mhe. Mbowe anatishia amani ya nchi yetu kwa maslahi yake ya kisiasa kiongozi kuongea neno lolote linaloashiria vurugu na kuvunja amani, huo ni uchochezi.

Mhe. Mbowe leo katumia Ukurasa wake wa Twitter kuandika Maneno ambayo yanaashiria kuhamasisha vurugu na kuitishia Tume ya Taifa ya uchaguzi na kuonyesha nia ya dhati ya kutaka kuingilia mamlaka yao.

Kama siku zote CHADEMA mmekuwa wahubiri wa kutaka watu waheshimu Mamlaka na sheria za nchi basi nyie mnatakiwa muwe mfano. Kwanini mnakuwa na wasiwasi sana juu ya Mgombea wenu?

Kwanini Mgombea wenu aheshimu sheria na Utaratibu uliopangwa kwanini mgombea wenu aheshimu Mahakama.

Binafsi iliniudhi sana kuwaona CHADEMA mnamsapoti Tundu Lissu hata pale alipoitwa na Mahakama na kushindwa kuhudhuria kwa kudai kajiweka karantini halafu akaja kuonekana kwenye mikutano na baadhi ya Maandamano.

Mbowe msiichezee Tanzania kama kweli mnajua hamjavunja sheria kwanini mnakuwa na wasiwasi?

Tume ya uchaguzi kama itamkata Lissu lazima itoe sababu so kabla CHADEMA hamjafanya maamuzi itabidi muipime hiyo sababu na mjiulize, je kaonewa ama la.

Msitutishe nchi hii ni kubwa kuliko CHADEMA na CCM pia uchaguzi sio baina ya CCM na CHADEMA tu bali kuna vyama kibao so CHADEMA mkijitoa uchaguzi bado utakuwepo tena kwa nguvu ile ile.
Huyo jiwe ni namba moja WA hilo unalomsingizia Mbowe.

Wacheni ufala.
 
Tena Mbowe anatakiwa atoe tu maelekezo maana udhalimu wenu CCM umefika kikomo. Kwa mlivhofanya Tunduma cha kuwakatama wagombea udiwani wa Chadema na kuwashtaki kwa ujambazi ili wasirudishe fomu zao ni udhalimu wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kuvumiliwa popote pale.

Watanzania tumewachoka CCM na kwa sasa Tuko tayari kwa lolote dhidi ya CCM.

Lazima mkimbie ofisi za Serikali mwaka huu na tunaanza na tunduma
Watanzania au chadema [emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom