Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,694
Jikite kwenye hojaJinga lingine hili, unatumia makamasi kufikilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite kwenye hojaJinga lingine hili, unatumia makamasi kufikilia
Kwa hiyo tuyaache mabeberu yatupangie lakufanya!Yule aliyesema kupiga buti nae ilikuwa nini ile? Unajua ndugu yangu kama CCM mkereketwa sio wewe pekeako Tanzania hii hata Mimi ni mwanachama wa chama cha mapinduzi, tusijitoe ufahamu kiwango hiki.Huwezi kuendesha nchi bilakufata misingi ya HAKI
HAKI ndio msingi wa AMANI mahali popote .
Umeandika upumbavu hamna hoja ya msingi hapo na unaweza kukuta ety na wewe ni graduateJikite kwenye hoja
Kwani nchi hii ni ya walio graduate peke yako!Umeandika upumbavu hamna hoja ya msingi hapo na unaweza kukuta ety na wewe ni graduate
Mmechanganyikiwa nyie mataga!Genge la wahuni wanaovunja sheria, kanuni na utaratibu za uchaguzi!
Duh nimekutambua tayari Akili yako bado haijakomaa kupambanuwa vituKwani nchi hii ni ya walio graduate peke yako!
Mmechanganyikiwa nyie mataga!
Kutukana ndio kukomaaDuh nimekutambua tayari Akili yako bado haijakomaa kupambanuwa vitu
Acha kushikwa akili wewe popoma,jadili hoja!Hii ni JF na pole sana kama umekosea kulog in ukijua unaingia FB!Mtu akisoma comment anagunduwa tuu akili yako
Kusema akili yako haijakomaa ni Tusi? Akili kweli mkichwa mwako hamna kabisa unazo za kuvukia barabara ety mkuuKutukana ndio kukomaa
Mie nakuuliza Kuna hoja gani umeandika hapo? ,,Nungependa kujua age yako na Elimu yako plzAcha kushikwa akili wewe popoma,jadili hoja!Hii ni JF na pole sana kama umekosea kulog in ukijua unaingia FB!
Akili za kuvukia barabara usizilete hapa!
Masters,31!Mie nakuuliza Kuna hoja gani umeandika hapo? ,,Nungependa kujua age yako na Elimu yako plz
Huyo jamaa ni popoma,anashambulia tu watu badala ya kujadili hoja bila mihemko!Kwani nchi hii ni ya walio graduate peke yako!
Mhe. Mbowe anatishia amani ya nchi yetu kwa maslahi yake ya kisiasa kiongozi kuongea neno lolote linaloashiria vurugu na kuvunja amani, huo ni uchochezi.
Mhe. Mbowe leo katumia Ukurasa wake wa Twitter kuandika Maneno ambayo yanaashiria kuhamasisha vurugu na kuitishia Tume ya Taifa ya uchaguzi na kuonyesha nia ya dhati ya kutaka kuingilia mamlaka yao.
Kama siku zote CHADEMA mmekuwa wahubiri wa kutaka watu waheshimu Mamlaka na sheria za nchi basi nyie mnatakiwa muwe mfano. Kwanini mnakuwa na wasiwasi sana juu ya Mgombea wenu?
Kwanini Mgombea wenu aheshimu sheria na Utaratibu uliopangwa kwanini mgombea wenu aheshimu Mahakama.
Binafsi iliniudhi sana kuwaona CHADEMA mnamsapoti Tundu Lissu hata pale alipoitwa na Mahakama na kushindwa kuhudhuria kwa kudai kajiweka karantini halafu akaja kuonekana kwenye mikutano na baadhi ya Maandamano.
Mbowe msiichezee Tanzania kama kweli mnajua hamjavunja sheria kwanini mnakuwa na wasiwasi?
Tume ya uchaguzi kama itamkata Lissu lazima itoe sababu so kabla CHADEMA hamjafanya maamuzi itabidi muipime hiyo sababu na mjiulize, je kaonewa ama la.
Msitutishe nchi hii ni kubwa kuliko CHADEMA na CCM pia uchaguzi sio baina ya CCM na CHADEMA tu bali kuna vyama kibao so CHADEMA mkijitoa uchaguzi bado utakuwepo tena kwa nguvu ile ile.
Mhe. Mbowe anatishia amani ya nchi yetu kwa maslahi yake ya kisiasa kiongozi kuongea neno lolote linaloashiria vurugu na kuvunja amani, huo ni uchochezi.
Mhe. Mbowe leo katumia Ukurasa wake wa Twitter kuandika Maneno ambayo yanaashiria kuhamasisha vurugu na kuitishia Tume ya Taifa ya uchaguzi na kuonyesha nia ya dhati ya kutaka kuingilia mamlaka yao.
Kama siku zote CHADEMA mmekuwa wahubiri wa kutaka watu waheshimu Mamlaka na sheria za nchi basi nyie mnatakiwa muwe mfano. Kwanini mnakuwa na wasiwasi sana juu ya Mgombea wenu?
Kwanini Mgombea wenu aheshimu sheria na Utaratibu uliopangwa kwanini mgombea wenu aheshimu Mahakama.
Binafsi iliniudhi sana kuwaona CHADEMA mnamsapoti Tundu Lissu hata pale alipoitwa na Mahakama na kushindwa kuhudhuria kwa kudai kajiweka karantini halafu akaja kuonekana kwenye mikutano na baadhi ya Maandamano.
Mbowe msiichezee Tanzania kama kweli mnajua hamjavunja sheria kwanini mnakuwa na wasiwasi?
Tume ya uchaguzi kama itamkata Lissu lazima itoe sababu so kabla CHADEMA hamjafanya maamuzi itabidi muipime hiyo sababu na mjiulize, je kaonewa ama la.
Msitutishe nchi hii ni kubwa kuliko CHADEMA na CCM pia uchaguzi sio baina ya CCM na CHADEMA tu bali kuna vyama kibao so CHADEMA mkijitoa uchaguzi bado utakuwepo tena kwa nguvu ile ile.
Huwezi kuwa na Masters , labda Kama ni ya chupi,,huwezi kujenga pumba na ujinga Kama huo ukasema unamasters labda Kama uliipata kwa chupiMasters,31!
Sasa hapo Kuna hoja gani? Zaidi ya ujinga mtupu,, hiv maana ya hoja unaelewa kweliHuyo jamaa ni popoma,anashambulia tu watu badala ya kujadili hoja bila mihemko!
Personal attack hazijawahi kuwa hoja wala mkombozi katika mdahalo!Sana sana utaonekana umepanic!Sasa hapo Kuna hoja gani? Zaidi ya ujinga mtupu,, hiv maana ya hoja unaelewa kweli
Ndio nasema,usidhani kufeli kwako kimaisha basi kila mtu yuko hivyo!Utapata stress buree!Huwezi kuwa na Masters , labda Kama ni ya chupi,,huwezi kujenga pumba na ujinga Kama huo ukasema unamasters labda Kama uliipata kwa chupi
Mkuu akina Mbowe wamekulia ikulu is not like you uliyeanza kuvaa viatu baada ya kuja Dar.Hivi kwani kuna mtu kasema watamkata Lissu?
Mbona hawa kina Mbowe wanajishtukia sana?