Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nasema huna hoja,umebaki unatangatanga kwa personal attacks tena kwa watu usiowajua,shame!Kama hukai kwa shemeji utaumia nn? Kama unajitambuwa huwezi kuleta hoja mfu na kuonyesha ulivyo kilaza namna hiyo
Nikuulize wewe mwenye akili za kuvukia barabara tu!Hivi ukificha ujinga wako unaonaje?
Sasa utahama kwa shemeji yako au uhami?Ndio maana nasema huna hoja,umebaki unatangatanga kwa personal attacks tena kwa watu usiowajua,shame!
Bora za kuvukia barabara unakuwa unaenda ofisini ,, wewe za kulala sebuleni kama TV unaona ni nzuriNikuulize wewe mwenye akili za kuvukia barabara tu!
Unataka nihamie kwa mama yako?Kama sawa poa!Sasa utahama kwa shemeji yako au uhami?
Inaonekana umeajiriwa unategemea mwisho wa mwezi ulipwe!😂😂😂Bora za kuvukia barabara unakuwa unaenda ofisini ,, wewe za kulala sebuleni kama TV unaona ni nzuri
Nataka uache kusiki mlio was Dada yako na Akili kupanuka dume nzima na mindevu unanyoa unakaaje kwa shemeji? 😂😂😂😂Unataka nihamie kwa mama yako?Kama sawa poa!
Na wewe ajiliwa Kama unapenda🤔🤔🤔Inaonekana umeajiriwa unategemea mwisho wa mwezi ulipwe!😂😂😂
Hapo umefurahi eeeh?Kweli nchi hii kuna watu ni mabox!Nataka uache kusiki mlio was Dada yako na Akili kupanuka dume nzima na mindevu unanyoa unakaaje kwa shemeji? 😂😂😂😂
Hahahahaaaaa,miaka mitano ya kuajiriwa ilinitosha sana kujipanga kufanya mambo yangu!Na wewe ajiliwa Kama unapenda🤔🤔🤔
Nikisema kichwani hamna kitu unasema nakutusiHapo umefurahi eeeh?Kweli nchi hii kuna watu ni mabox!
Ila poa,nifanyie mpango nihamie kwa mama yako!
Hahahahaaaaa,miaka mitano ya kuajiriwa ilinitosha sana kujipanga kufanya mambo yangu!
Jidanganye hujawahi kuona kuku akikojoaHatuwezi kulia wote watalia CHADEMA tu
Si ndio nakushangaa wewe halafu unavimba!Popoma kabisa!😁😁Sasa
Sasa wewe unazani kwa akili yako hiyo fupi Kama mkia mbuzi unazani kuajiriwa Kuna raha ety
Nakupuuza we popoma!Nikisema kichwani hamna kitu unasema nakutusi
KUTUCHANGIA HELA KANISNI KUJENGEA MSIKITI Bila kuomba ridhaa yetu si uchochezi?Mhe. Mbowe anatishia amani ya nchi yetu kwa maslahi yake ya kisiasa kiongozi kuongea neno lolote linaloashiria vurugu na kuvunja amani, huo ni uchochezi.
Mhe. Mbowe leo katumia Ukurasa wake wa Twitter kuandika Maneno ambayo yanaashiria kuhamasisha vurugu na kuitishia Tume ya Taifa ya uchaguzi na kuonyesha nia ya dhati ya kutaka kuingilia mamlaka yao.
Kama siku zote CHADEMA mmekuwa wahubiri wa kutaka watu waheshimu Mamlaka na sheria za nchi basi nyie mnatakiwa muwe mfano. Kwanini mnakuwa na wasiwasi sana juu ya Mgombea wenu?
Kwanini Mgombea wenu aheshimu sheria na Utaratibu uliopangwa kwanini mgombea wenu aheshimu Mahakama.
Binafsi iliniudhi sana kuwaona CHADEMA mnamsapoti Tundu Lissu hata pale alipoitwa na Mahakama na kushindwa kuhudhuria kwa kudai kajiweka karantini halafu akaja kuonekana kwenye mikutano na baadhi ya Maandamano.
Mbowe msiichezee Tanzania kama kweli mnajua hamjavunja sheria kwanini mnakuwa na wasiwasi?
Tume ya uchaguzi kama itamkata Lissu lazima itoe sababu so kabla CHADEMA hamjafanya maamuzi itabidi muipime hiyo sababu na mjiulize, je kaonewa ama la.
Msitutishe nchi hii ni kubwa kuliko CHADEMA na CCM pia uchaguzi sio baina ya CCM na CHADEMA tu bali kuna vyama kibao so CHADEMA mkijitoa uchaguzi bado utakuwepo tena kwa nguvu ile ile.
====
Watanzania wenzangu, tuna masaa 24 kwa NEC kuweka Msingi wa Amani ya Tanzania. Mkakati wowote wa kuengua kwa hila wagombea wetu utapokelewa kwa kishindo kikubwa. #NoLissuNoElection!#SasaBasi! Uzalendo uonyeshwe kwa kusimamia haki na si vinginevyo.
View attachment 1547347
Achá kutumia makalio kufikiriMhe. Mbowe anatishia amani ya nchi yetu kwa maslahi yake ya kisiasa kiongozi kuongea neno lolote linaloashiria vurugu na kuvunja amani, huo ni uchochezi.
Mhe. Mbowe leo katumia Ukurasa wake wa Twitter kuandika Maneno ambayo yanaashiria kuhamasisha vurugu na kuitishia Tume ya Taifa ya uchaguzi na kuonyesha nia ya dhati ya kutaka kuingilia mamlaka yao.
Kama siku zote CHADEMA mmekuwa wahubiri wa kutaka watu waheshimu Mamlaka na sheria za nchi basi nyie mnatakiwa muwe mfano. Kwanini mnakuwa na wasiwasi sana juu ya Mgombea wenu?
Kwanini Mgombea wenu aheshimu sheria na Utaratibu uliopangwa kwanini mgombea wenu aheshimu Mahakama.
Binafsi iliniudhi sana kuwaona CHADEMA mnamsapoti Tundu Lissu hata pale alipoitwa na Mahakama na kushindwa kuhudhuria kwa kudai kajiweka karantini halafu akaja kuonekana kwenye mikutano na baadhi ya Maandamano.
Mbowe msiichezee Tanzania kama kweli mnajua hamjavunja sheria kwanini mnakuwa na wasiwasi?
Tume ya uchaguzi kama itamkata Lissu lazima itoe sababu so kabla CHADEMA hamjafanya maamuzi itabidi muipime hiyo sababu na mjiulize, je kaonewa ama la.
Msitutishe nchi hii ni kubwa kuliko CHADEMA na CCM pia uchaguzi sio baina ya CCM na CHADEMA tu bali kuna vyama kibao so CHADEMA mkijitoa uchaguzi bado utakuwepo tena kwa nguvu ile ile.
====
Watanzania wenzangu, tuna masaa 24 kwa NEC kuweka Msingi wa Amani ya Tanzania. Mkakati wowote wa kuengua kwa hila wagombea wetu utapokelewa kwa kishindo kikubwa. #NoLissuNoElection!#SasaBasi! Uzalendo uonyeshwe kwa kusimamia haki na si vinginevyo.
View attachment 1547347