LED imefanya mapunduzi makubwa sana kwenye lightings. Halogens zilikua jau sana. Angalia ata LC hizi mpya au Prius 2023 au Corola yaan siku hizi taa kama mstari tu ila mwanga ova jua.Haya magari ya UMEME mbona taa za mbele zinakuwa finyu? Sometimes unakuta hazina taa kabisa za mbele
OK asante, Bongo labda 2030 tutaanza kuyatumia inshallah650-700km hafu 0-80% nadhani 30 mins kama sijakosea ukiwa kwenye Level 3 DC fast charge
Yes LED Ndo master wa Mwanga kwa wakati huu, ukipigwa full lazima upunguze mwendo😂😂LED imefanya mapunduzi makubwa sana kwenye lightings. Halogens zilikua jau sana. Angalia ata LC hizi mpya au Prius 2023 au Corola yaan siku hizi taa kama mstari tu ila mwanga ova jua.
Ndio maana hazitoingia, unadhani US hawahamu hiloHii ikiingia US, kuanzia Ford, Tesla, GMC etc wote watakufunga viwanda, ndio maana wamepiga tariff 100% anything car from China
Acha tusake hela nimeipendaWakuu, ni EV nyingine kutoka China.
Kuna hii kampuni inaitwa Avatr Technologies, hadi sasa wana model mbili tu za magari, ya kwanza ni Avatr 11 na ya pili ndio hii imeingia sokoni sasa inaitwa Avatr 12. Inasomeka Avatr one two!
View attachment 3082396
Hii ni executive hatchback, iliyokua designed na bwana mkubwa Nader Faghihzadeh, huyu ndie aliedesign BMW 6 na 7 (F na G generations), ina muonekano wa kishua na kiboss kuanzia nje hadi ndani, na performance ya kutisha.
View attachment 3082397
Kwa kuanza, inakuja na options mbili either 90.4 kWh battery na mota moja (inakaa nyuma, so gari inakua RWD) inayotoa power ya 313 hp au 116.8 kWh battery na mota mbili (hii gari inakua ADW) inayotoa 578 hp.
View attachment 3082398
Ndani kuna oval shape steering wheel, na screen kubwa 15" inachukua eneo la kati. Kama haitoshi pia kuna bonge la screen inayoanzia kwa dereva hadi kwa abiria. Na juu pia kwenye roof kuna multimedia screen ambayo abiria wa nyuma wanaweza kufaidi.
View attachment 3082399
Kwa wanaopenda extra classy, kuna model yenu special limited edition inaitwa Avatr 012, ambayo ndani imeongezewa mbwembwe kutoka kwa madesigner kutoka Dior Homme na Fendi Women's, ili kukupa European Premium taste!
View attachment 3082400
Bei inaanzia $37,000/= tu.
Ni kwa ajili ya kutembelea mchana tuHaya magari ya UMEME mbona taa za mbele zinakuwa finyu? Sometimes unakuta hazina taa kabisa za mbele
Sio kweliNi kwa ajili ya kutembelea mchana tu
Naona imefanana na Tesla kwa mbali..
Wachina wao kazi wanayoiweza vizuri ni kuigilizia tu 🤣.Model X flani hivi.
Mchina hawezi akapoteza muda wake kuleta kitu tofauti na ambacho tayari kipo, maana yeye hana muda wa research na uvumbuzi bali duplicating😅Naona imefanana na Tesla kwa mbali..
Wachina kwenye ubora hawaaminiki hao.Natamani sana EV zao ila naogopa quality. Nasubiri miaka 3 ijayo hizi za 2023/24 zikiwa zimepoa najitoa muhanga EV.