Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Mkuu, achana na kulipwa,Sasa kwa saa analipwa let say dollar 50 kwanini usikomae masaa 15 utakua umechota dollars ngapi
Njoo huku saa 1
Mtu kwenye biashara yake tu hafanyi kazi muda huo, anachelewa fungua, anawahi funga, excuse nyingi