Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

Kazi zipo nyingi tu,ajira ndio hakuna
Hakuna kazi na ajira hakuna. Ukienda nchi anazoziongelea mtoa mada utaelewa ninachoongea pia. Kazi zingekuweo tusingekuwa na mirundikano ya watu mabarabarani kama ilivyo sasa.
 
Hakuna kazi na ajira hakuna. Ukienda nchi anazoziongelea mtoa mada utaelewa ninachoongea pia. Kazi zingekuweo tusingekuwa na mirundikano ya watu mabarabarani kama ilivyo sasa.
Mirundikano ya watu ni kwa sababu ni wavivu na wasio wabunifu
 
Mtuacheee....kazi kidogo... kupumzika kidogo...msosi kidogo...ka usingizi kidogo...mshahara wa kumwaga....starehe za kumwaga..
Umenikumbusha Tanga,ule mji hapana aisee..yani majitu ni mavivu hatari..kwanza maduka yanafunguliwa saa 4 asubuhi,saa 7 wanafunga kwenda misikitini kuswali,saa 8 wanaenda nyumbani kulala kidogo,saa 10 wanafungua tena,saa 12 wanafunga..akimmiss mke wake kidogo pia anafunga kwenda kumuona..nilishangaa maisha ya wale watu
 
Hapo kwenye bold…

Hao viongozi wanatokana na sisi wananchi wenyewe, hawatoki kuzimu.
Utamaduni..., na maana ya utamaduni ni jinsi tunavyofanya mambo yetu (The way we do things) fikra, imani n.k. Zamani pamoja na umasikini wetu..., watu walikuwa Wazalendo na wizi ulikuwa aibu, ingawa watu waliiba na kufanya ufisadi (wachache) lakini jamii iliwaona kama wachawi; leo hii wizi ni ujanja ukiwa Mbunge ukimaliza term haujapata mali watu wanakuona ni mjinga na ulichezea opportunity.... Hivyo zao la kesho linakuwa kwa kuona kwamba wizi ndio ujanja na kila anayekemea huu wizi anaonekana ana wivu.....
Kinachowajenga na kuwapa nguvu kuwa hivyo walivyo sasa ni jamii yetu. Wao ni zao letu, ni watu miongoni mwetu na matokeo ya mienendo ya jamii yetu.
Mentality ya sasa watu wanaangalia vitu kwa mafungu wame-wabrain wash watu kwamba as in the animal farm wao ndio thinkers kwahio inabidi wale creme de la creme ili kuwatafutia maisha majority kitaa..., na ukiangalia Historically haya ni marudio tu, hivi vitu vikifikia peak na hawa majority kuzidi kubanwa mwisho wa siku wata-revolt it happened in French revolution...., tatizo la kuacha hii hali itokee automatically gharama huwa ni kubwa sana na huenda msirudi kwenye reli kwa miaka mingi... Kwahio hawa viongozi wangejua kula na vipofu angalau kuwapa basic needs (Historically binadamu amekuwa akinyonywa - Matsya Nyaya) lakini hata paka akiwa cornered hugeuka simba na ndicho kinachotokea sasa - nachelea kusema hata enzi za Mabwana na Watwana angalau Watwana walikuwa provided na chakula na sehemu ya kulala
Bado kuna jambo lipo linalosababisha hii tofauti kati yetu kuwepo.
Systems in place..., angalau huko kuna Taasisi zenye nguvu na kinachokusanywa ni shida kuliwa sababu kuna taasisi za habari ingawa sio perfect zinaweza kufichukua hence ku-act kama polisi wa kuzuia ufujaji..., kuna miundo mbinu ambayo inahakikisha mtu hata kidogo anachopata anaweza kutumia usafiri (public) kufika kwenye ka- ajira kake ambapo na anachopata huko kinamtosha kupata chakula...., na hapo naongelea nchi ambazo zina system nzuri n.k. sababu hata kina India tunaweza kuona Uchumi wao ni mzuri on paper lakini ukweli ni kwamba majority ni masikini..., naongelea kina United Kingdom ambapo angalau Healthcare ni kwa wote na kuna / ilikuwepo system ya angalau watu kupata affordable housing (Huku hata NHC imegeuka kuwa mtafutaji wa Gawio la Walamba Asali na sio Serikali / UMMA)...., Naongelea nchi kama Nordic Countries....
Kama sisi tulikua bora zamani na hao wenzetu wameiga kwetu basi ni kwanini tunashindwa kurudi katika ubora wetu? Kikwazo haswa ni kipi?
Marginalization, faulo za hapa na pale and empires rise and fall.....; Clans can not defeat empires na katika hii issue ya developed countries Kuzinyonya underdeveloped huwezi kutegemea mmoja mmoja utashindana nao wakati unawategemea kwa mikopo na soko yaani uwakope ili uzalishe kwa quality wanayotaka na uwauzie pale wanapotaka

1713287994239.png
1713288012169.png

Kwamba tumeshindwa kabisa hata kuanza upya basi? What really happened to us??
It takes ages there used to be Great Britain (Now its not great anymore) There used to be Roman Empire; Used to be Baghdad.... Timbuktu used to be a great city..., unachofanya leo ndio matokeo ya kesho na ukianza leo inachukua muda lakini cha kubadilisha zaidi ni mentality....

Jews na immigrants wengi kwenye nchi za watu the second generation huwa inafanya vizuri sana (sababu wazazi wao amabo walitoil they had to work harder na kuwaambia watoto wao they need to run wakati wengine wanatambe hivyo wana-instill kujituma na kujinyima kwa watoto wao na kama opportunity zipo basi katika same place hao immigrants watafanya bora.., mtoto wa Kihindi alikuwa akitoka shule badala ya kwenda kucheza na nyie wenzake yeye anakuwe dukani kuuza..... (lakini kama hakuna opportunities na watu wamegota kwenye poverty cycle basi wataendele kuwa duni).., Unaweza ukajitahidi wewe mmoja ukatoka lakini as a whole tunahitaji systems and infrastructures ambazo ni sustainable na bora kwetu
Hii hali ukiifikiria kwa umakini unaona kabisa it goes beyond colonialism.

Walitufanya nini mpaka tuko hapa leo hii na kila juhudi ya kunyanyuka tena inapotea kila ikichipua?
Colonialism ilituharibu kwa kutupiga break na kuturudisha nyuma; neo colonialism na imperialism inatufanya tuendelee kuwa tegemezi tunaendelea kulishana matango pori na mbaya zaidi tumekuwa walafi kwahio kila anayepewa usukani wa kuendesha Taifa anajiangalie yeye hence badala ya kufanya whats good for the nation anafanya what's good for him / her...

The field is not fair...., Kwa kuwategemea wao watutoe hapa watupeleke pale ni kama Muwindwa kumtegemea Muwindaji kwamba Atalinda Maisha yake
 
Kazi Kwa METL saa 1 Hadi saa 10 malipo 150,000 Kwa mwezi. Yaan 5,000 ambayo sarange anaipata Kwa abiria wawili
 
Yaani tusijidanganye hata siku moja.

Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc..

Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila siku

Hawa jamaa ni nuksi jamani, yaani huku kufanya kazi saa 12 + ni jambo la kawaida sana.

Halafu wako speed kama legelege lazima utapike dagaa.

Watu weusi tuko polepole sana hata kazi nchini kwetu infact ukisema u rate kwenye scale ya 10
Hawa wenzetu wako 9/10 sis tuko 1/10

Yaani hakuna kitu wakuu, nadhani hii ndio siri kubwa ya wao kutupiga gap la maana achana na kelele za ohh walikuja kuiba malighafi Afrika hizo ni kelele za kujitetea tu hawa jamaa ni watafutaji yaani wana ile spirit ya kichaga na kikinga mara 100

Ni hayo tu wadau, tupambane. sana

Na haijalishi ni me au ke hawa watu ni hatari na wanaanza michakato wadogo kabisa yaani 18yrs mtu anapiga kazi
Muafrika ana error kwenye gene yake. Kupenda starehe kuliko kazi. Wakati wenzetu wanaluwa drived na kazi then starehe. Is why wanapiga hatua sisi tukibakia kulalamika?
 
Cha maana ni nini?

Kila mtu ana vitu vyake anavyoona vya maana hapa duniani na wengine hakuna cha maana kwao hapa duniani

Kuna watu hata uhai hauna maana kwao, wanataka wafe tu. Kifo ndio cha maana kwao.

Kwa hiyo "cha maana" depends upon your frame of reference.
Huna maajabu yeyote wewe ni sawa na hao unaowadharau
 
Hii ni kweli nimefanya kazi na ngozi nyeupe mara kadhaa, hawa jamaa hela yao unakula kwa jasho. Boss anavyopambana mpaka unashangaa inabidi tu uingie kwenye mfumo wake.
 
Ehee! Naomba kuuliza hao Wazungu huwa wanatumia kilevi chochote ili kuupa mwili na akili uwezo wa kufanya kazi muda mrefu?

Mana watu tunao uzoefu wa kufanya kazi saa 20 kwa siku ili kichwa na moyo vinakuwa vinauma na siku ukipata upenyo wa kulala, unalala kama umekufa.

Je, hao watu wanatumia nini?

Hata Japan kuna muda serikali ilianzisha kampeni kuwafukuza watu maofisini wakalale mana wengine walikuwa wanalala saa 3 tu badala ya saa nane za kiafya.
 
Ehee! Naomba kuuliza hao Wazungu huwa wanatumia kilevi chochote ili kuupa mwili na akili uwezo wa kufanya kazi muda mrefu?

Mana watu tunao uzoefu wa kufanya kazi saa 20 kwa siku ili kichwa na moyo vinakuwa vinauma na siku ukipata upenyo wa kulala, unalala kama umekufa.

Je, hao watu wanatumia nini?

Hata Japan kuna muda serikali ilianzisha kampeni kuwafukuza watu maofisini wakalale mana wengine walikuwa wanalala saa 3 tu badala ya saa nane za kiafya.
Ni mazoea tu, mwili na akili unaweza kuzoeshwa mambo ukazoea kabisa, ni kama vile wanamichezo au wanajeshi wanavyopata mafunzo na kuweza kutekeleza majukumu yao katika mazingira ambayo binadamu wa kawaida hataweza kufanya hivyo. Hata wewe ukirudia kufanya hivyo kwa masaa 10,000 mfululizo utazoea na kuona ni jambo la kawaida.
 
Sasa bongo kazi zenyewe ziko wapi? Watu tuko iddle sana, tunatamani hata tufanye kazi tatu tati ila hata hiyo moja ni mtihani!
Je, hata hizo zilizopo zinafanyika kwa ufanisi wa kiwango gani?
 
Sasa bongo kazi zenyewe ziko wapi? Watu tuko iddle sana, tunatamani hata tufanye kazi tatu tati ila hata hiyo moja ni mtihani!
Umeongea points, vijana wanashinda kwenye masoko kutafuta kazi wanaishia kua mawinga
 
Huko wanalipwa kwa masaa ya kazi , ndio yo maana wanaweza kufanya kazi muda mwingi. Huwezi kufanya kazi masaa mengi kisha mshahara ni WA saa sita.
 
ukitaka kujua waafrika hatufanyi kazi na hatuna speed ya kazi angalia wapiga debe wamezagaa siku nzima kughasi abiria naye anajihesabu ana kazi..... kuna watu nawaangalia wakipelekwa kwa wenzetu wanakufa njaa....

ogopa nchi hata mbwa akiwa hana mmiliki anakufa njaa uone mambo yanavyokwenda kasi
 
Back
Top Bottom