Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
Mchukueni mtu wenu CCM, msituchosheMembe unastahili heshima,
Je umerudhika na mchakato wa chama chako ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchukueni mtu wenu CCM, msituchosheMembe unastahili heshima,
Je umerudhika na mchakato wa chama chako ?
Weye weye weye.. unalijua Gori la dk za 89 au unalisikia..😂Mheshimiwa mimi naomba nije PM
Kwanini ACT walimchukua?Membe, wanadai wewe umetumwa na CCM kuja kugawa kura za upinzani. Je, kilichokuondoa CCM ni nini? Na humuwezi Lissu ki ukweli.
Kosa lako ulilofanya ni kumdharau mwenyekiti wako, ilitakiwa kukaa kimya washangae tu umechukua fomu.
Huko kwao wanamjua sana atapunguza za kwenu ACT WAZALENDOHuyu Mheshimiwa anaenda kupunguza kura za CCM na sio za Chadema au ACT-WAZALENDO. Anawapa fursa wale waliokuwa kwenye Chama chake cha awali kukinyima kura chama chao bila kuwapigia Chadema.
Amandla....
Mchukueni mtu wenu ccm, msituchoshe
Mchukueni msituchoshe, mzigo wenu huo, hakuna atakaejuta. Nashangaa mlimfukuza halafu sasa mko busy kumtetea, hizo mbinu zenu dhaifu hazifui dafuMnayomfanyia Membe ipo siku mtajuta
Yaan usiwe unaniqoute tafadhali 🖕🏾Nyie chadema mtu wenu amekataliwa na Watanzania mna baki kutukana tu
Usaliti ni laana kwa Taifa
Umenichekesha sana japo sikupendiMembe ninaumia sana jinsi Chadema walivyokufanyia
Naomba uwakaripie wale watu ni wabaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya dakika ya 89 hayo[emoji23]
Hii kauli mbiu ilikuwa tamu sana "KAZI NA BATA".
Ha haaaa nalijuaWeye weye weye.. unalijua Gori la dk za 89 au unalisikia..[emoji23]
IgnoredIpo siku mtamkumbuka Membe, mkibaki na wabunge wawili