Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
[emoji28][emoji28][emoji28] sio kweli. Haram ni Haram tuUzao sura ya 1. 23:24 kitanda hakizai haramu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28] sio kweli. Haram ni Haram tuUzao sura ya 1. 23:24 kitanda hakizai haramu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa Mkandamizaji kakandamizwa, hili halina ubishi mabao ya nje huwa hayakosei.Baba mchungaji songa mbele tu wala usirudi nyumaView attachment 2383153
Kujua ni haramu ndo kipengele kigumu alafu zamani hakukuwa na DNA😂[emoji28][emoji28][emoji28] sio kweli. Haram ni Haram tu
Watakutana nae kituo cha bus au super market.Kwa kifupi hawa madogo vijana wa hovyo weka mbali na mke, kwangu nyumbani hakuna mdogo wangu wa kiume anayeruhusiwa kuishi, usikubali wala usipende mazoea yoyote, hamna cha undugu, kuwa mkali kwa wote, chora mpaka, hamna cha shemeji wala nini kaa mbali, vijana vya hovyo hivi vinakuchekea ila vinajilia mzigo.
Watakutana nae kituo cha bus au super market.
Hakuna jinsi unaweza mlinda mwanamke aliedhamiria kufanya hayo.
Watu wabaya sana.Baba mchungaji songa mbele tu wala usirudi nyumaView attachment 2383153
Hii picha yani nimekaa nikafikiriaa, aah nikajiuliza kwani kufikiria lazima ukae... nikaamua kuinuka.Baba mchungaji songa mbele tu wala usirudi nyumaView attachment 2383153
Wewe unaona kumpa mimba mumeo ni sawa?Unatuonea [emoji24]
Kwamba twende mbele kishingo upande au turudi nyuma kishingo usawa hivi [emoji23]Baba mchungaji songa mbele tu wala usirudi nyumaView attachment 2383153
Sio sawaWewe unaona kumpa mimba mumeo ni sawa?
kinachoniumiza roho masanja bado ana furahaBaba mchungaji songa mbele tu wala usirudi nyumaView attachment 2383153
Basi msiwape mimba wanaume ambazo si zao.Sio sawa
Mmh hapa pagumu rafikiAcha uchochezi
Nimeumia mimiBaba mchungaji songa mbele tu wala usirudi nyumaView attachment 2383153
Maana yake ni kwamba haramu sio mtuKitanda hakizai haramu weye
Mshikaji katuheshimisha sana tusiopenda uchawa wa kifala[emoji23]Mwendazake ndiye biological father hili halina ubishi. Ingalao nguvu zake hazijapotea bure ametuachia ukumbusho. Mshikaji katuheshimisha sana tusiopenda uchawa wa kifala
Au hakuna kabisa [emoji23]Kuna maandiko nafuatilia Kuna thin line kati ya shetani na mwanamke
Pole rafiki wala shetani sio mbaya kihivyo mbona?Unatuonea [emoji24]