Twendeni mbele na turudi nyuma au basi twendeni mbele tu

Mimi nadhani Masanja atakua alimpokonya dogo Demu wake kwa kutumia power ya pesa na umaarufu nae dogo akatumia power of love then dogo alipoamua kuja kuoa mke wa Masanja akamind na kumtema dogo ktk mpango wao wa siri
 
Sio mchezo aisee mimi nimeangalia nikaanza kujiuliza hivi ni mimi tu na macho yangu au kila mtu anaona km ninvyoona mimi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316]
Kwann hi picha haijazambazwa kipindi kilekile kweny sakata zana ilikuwa nn yaani
 
Daah kumbe ndo maana katibu kajiua aliwaza mengi sana.
Damu yake itakuwaje wakiachana na Monica.
Ila tusimcheke masanja mwanamme yeyote yanaweza kukukuta
Kama Ni huyu mtot ndio alianza kumdai bas kuna kila sababu katiba kauwawa kikatili mno kwa kunyongwaa
 
Ndio ukweli halisi huo sasa, yule kikomwe kama tunda ya ubuyu alikasirika mwenzie kuoa akaamua akatishe mahusiano yao,

Selfish S*ut
Mwanamke fashisti huyu yaani alitaka yeye awe na waume wawili? Au walipanga wamuue masanja ili waoane baadae?
 
Sisi ndugu zake katibu tunajiuliza mengi
1: wakati katibu anakufa masanja alikuwa wapi au alisafiri kupunguza maneno?
2: mbona hili jambo kalichukulia poa?

Nb vipi huko kanisani kwa masanja leo j2?
 
Sisi ndugu zake katibu tunajiuliza mengi
1: wakati katibu anakufa masanja alikuwa wapi au alisafiri kupunguza maneno?
2: mbona hili jambo kalichukulia poa?

Nb vipi huko kanisani kwa masanja leo j2?
Alibi..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…