Usijifanye humfahamu bwana, hebu mpe heshima yake,Mtanzania Anaitwa Sijui Idris Sultan alianza kuingulilia wakenya hajakipenda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtajuaje Twitter mkiwa washamba hivi
wakenya ni watu wa kuwaonea huruma.tofauti zao za kikabila zimepelekea kutokuwa na social network ya kikenya inayowaleta pamoja kama ilivyo jf kwa watanzania.
matokeo yake wameigeuza Twitter kuwa ni uwanja wao pekee wa kutoa stress zao kwa serikali na kushambulia maadui zao kwa kuwarushia maneno yasiyo na madhara yoyote ya kimwili.
hata vita dhidi ya alshabab,wakati alshabab inaua wakenya physically, wao walichagua njia ya kushambulia kwa maneno kupitia Twitter.pathetic.[emoji23] [emoji23]
hata tofauti zao za kikabila,mara nyingi hurushiana vijembe na vitisho kupitia Twitter.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ila jf ndio kiboko yao.ndio maana wengi wanaogopa kujiunga na jf.maana wanajua huku tunajadiliana kwa fact and evidence sio blabla au comedy kama Twitter.
hawa mnaowaona tunajidiliana nao hapa kwa ustaarabu, tulifanya kazi kubwa sana ya kuwabadilisha.wengi wao walikuwa kama vichaa vile[emoji23] [emoji23]
Mbona waKenya hawaijui JF, nao ni washamba??Mtajuaje Twitter mkiwa washamba hivi
Usijifanye humfahamu bwana, hebu mpe heshima yake,
Ni celebrity mkubwa Africa,
Nimeona mnakomaa na tweets za Salama jabir na Idris eti.
Bure kabisa
Unaongea nini wewe,Kenyans are true to themselves and they don't pretend! But they are united more than you think!! The fighting is internal, but touch one of them, and that is when you realize how united they are!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wakenya ni watu wa kuwaonea huruma.tofauti zao za kikabila zimepelekea kutokuwa na social network ya kikenya inayowaleta pamoja kama ilivyo jf kwa watanzania.
matokeo yake wameigeuza Twitter kuwa ni uwanja wao pekee wa kutoa stress zao kwa serikali na kushambulia maadui zao kwa kuwarushia maneno yasiyo na madhara yoyote ya kimwili.
hata vita dhidi ya alshabab,wakati alshabab inaua wakenya physically, wao walichagua njia ya kushambulia kwa maneno kupitia Twitter.pathetic.[emoji23] [emoji23]
hata tofauti zao za kikabila,mara nyingi hurushiana vijembe na vitisho kupitia Twitter.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ila jf ndio kiboko yao.ndio maana wengi wanaogopa kujiunga na jf.maana wanajua huku tunajadiliana kwa fact and evidence sio blabla au comedy kama Twitter.
hawa mnaowaona tunajidiliana nao hapa kwa ustaarabu, tulifanya kazi kubwa sana ya kuwabadilisha.wengi wao walikuwa kama vichaa vile[emoji23] [emoji23]
wacha kujifariji. kila pahali mKenya yuko.Hii vita ingeenda instagram... Sijui ingekuwaje.. maana waTanzania hawatumii kabisa Twitter.. wengi wana accounts ila zipo dormant.. ila Instagram kule hakugusiki..
Kenya mnatumia sana Twitter kama weapon yenu kwenye vita zenu za maneno za kikabila. Hayo mambo Tanzania hamna ndio maana mmechukua ushindi wa mezani.
Tz ukitumia Twitter kwenye breaking news nobody will know ndio maana hata hii Twitter war nimeijulia huku JF.
Hongereni kwa ushindi wa mezani.
Ila kweli wangeenda insta sijui maana kule ni hatari.insta
wamejipata pabaya hapa aisee. watz watakula kichapo cha mbwa kuingia mskitiniSasa kama watanzania hawajui English bado mnawatania in English! Nobody gets it. Joke's on u.
Nimeshangaa sana kwamba Watanzania wanajua Insta [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimeshangaa sana
wakenya ni watu wa kuwaonea huruma.tofauti zao za kikabila zimepelekea kutokuwa na social network ya kikenya inayowaleta pamoja kama ilivyo jf kwa watanzania.
matokeo yake wameigeuza Twitter kuwa ni uwanja wao pekee wa kutoa stress zao kwa serikali na kushambulia maadui zao kwa kuwarushia maneno yasiyo na madhara yoyote ya kimwili.
hata vita dhidi ya alshabab,wakati alshabab inaua wakenya physically, wao walichagua njia ya kushambulia kwa maneno kupitia Twitter.pathetic.[emoji23] [emoji23]
hata tofauti zao za kikabila,mara nyingi hurushiana vijembe na vitisho kupitia Twitter.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ila jf ndio kiboko yao.ndio maana wengi wanaogopa kujiunga na jf.maana wanajua huku tunajadiliana kwa fact and evidence sio blabla au comedy kama Twitter.
hawa mnaowaona tunajidiliana nao hapa kwa ustaarabu, tulifanya kazi kubwa sana ya kuwabadilisha.wengi wao walikuwa kama vichaa vile[emoji23] [emoji23]
mdogo mdogo naona wana evolveNimeshangaa sana kwamba Watanzania wanajua Insta [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyerere alisema Wakenya wakiwa nje ya muungano wa EA wao ni ukabila tu ndiyo wanawaza. Lakini wakiwa ndani ya muungano kidogo wanakuwa wamoja na wanashindana na nchi nyingine. Tofauti na hapo hawa jamaa ni ukabila kwenda mbele.Muda pekee waKenya wanaungana ni wanapokua wanashirikiana kuionea wivu Tanzania, mbali na hilo ni ukabila mwanzo mwisho.
Huu umoja wenu uelekezeni uelekeo wa Al Shabab.
The good thing is,wakenya wengi hawawezi kuongea kiswahili fasaha,na watanzania wengi hawawezi kuongea kingereza kwa ufasaha,kwa hilo to me I don't see any problem on that,umuhimu wa lugha Ni mawasiliano,mawasiliano yanatimia pale kunapokuwepo na feedback basically, akina xhristiano ronaldo and the likes wamekaa uingereza kwa waingereza wenyewe for years stil they ain't good kuongea,kila wanatokea wakikuyu wa wapi huko sijui wanajiona wanajuua its as if the language originated from,Mandela fala sana nyie watuWe kiswahili inakusaidia aje... Ukijibu swali langu utakuwa umejibu yako pia