Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Maziwa ?una maanisha breasts?[emoji39]Nje ya keyboard na ukibahatika kuniona nkitembea na kuongea wala hutoshangaa! Binti mkali kwasababu nna maziwa...ha ha ha haaa
Kapige kura mkuu
Watanzania wamevurugwa, hawaaminiki.Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Dunia ya wapi ndugu. Piga kura nenda nyumbani subiri jumatatu kawajibike. Kesho Maulid, Ijumaa time inahesabu Kura. Jumamosi ,Jumapili tupo home. Kweli tume itajinafasi. Uhuru teleeeeeeeKilichofanyika ni shambulizi dhidi ya uhuru na hali za watanzania, natamani dunia iingilie kati
Hapo ukute unasoma open nje na una Assignments[emoji41]Kuna international students katika nchi hiii wanasoma online, hakuna mtandao nini maana ake? Miaka ya giza ndo hii? Najiuliza tu Uoga wa nn?
Machafuko yanatokea online?!Acha ujinga wewe, yakitokea machafuko hautakuwa tena na hiyo biashara.
Mpumbavu mamako aliyekuzaa nje ya ndoaICC ndiye mama yako? Huyo kibaraka wenu anatoswa na bado muziki lazima akomeshwe kabisa, nyie wafuasi mmoja mmoja itabidi mkimbie nchi wapumbavu kabisa
Kaka watu huwa wanahack system za NEC kipindi hiki cha uchaguzi. 2015 watu waliingilia mtandao wa NEC kwahiyo kujihadhari ni vizuri
Kazi ya kuua na kuteka watu?Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Walianza kuleta taharuki mara wanaweka video clip eti mtz ameuawa kumbe uongo mtupu!CHADEMA walikuwa wamejiandaa kwa disinformation ili kuleta taharuki na machafuko, vyombo vya usalama vimeona isiwe tabu, mtu anawekwa kibra kimya kimya sasa hivi hadi j2 au j3 social media ikirudi kazi imeisha.
Dunia inaingije hapa !!?Kilichofanyika ni shambulizi dhidi ya uhuru na hali za watanzania, natamani dunia iingilie kati
Umebaki kushabikia upuuzi,kapige kura.Watanzania watamlilia mungu kwa bidii hadi laana imshike
Pimbi mkubwa, bichwa utadhani kalio la nyani. Tunawakomesha wasaliti wakubwa, baada ya hapo lazima muisome namba wapumbavu kabisa.Mpumbavu mamako aliyekuzaa nje ya ndoa
Hakuna adui mdogo.Ila kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.
Kwa akili hizi Tanzania bado sanaMi naomba Rais wetu aifunge hata maisha tu. Watanzania tu
Ekua wavivu tusiopenda kazi na kushinda mitandao ya kijamii...ikifu gwa hv iwashwe weekend tu ka bar. Itasaidia ubunifu nda I ya nchi. Nawasilisha
walcomeAm back from Darkness world [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] VPN
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kawaulize China kwanini wanawazidi marekani maendeleo. Shwaini, unadhan ikitokea Kampuni ya kizalendo Kama Uber, Twitter Facebook mapato kiasi gani yataongezeka au ndo wataka piga umbea tukwa akili hizi Tanzania bado sana
Kwa mara ya kwanza, umetoa maon rationalIla kwa kazi za JPM, haya hayakuitajika kabisa. Wanaua sisimizi kwa nyundo bila sababu. Kwa Zanzibar nisingeshangaa ila sio bara.