miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
atakujamiss chagga mwambie chepetunga apitie huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakujamiss chagga mwambie chepetunga apitie huku
atakuja
sana aiseehuyu demu ana macho mazuriiii
kama yakosana aisee
yangu hapanakama yako
yangu hapana
basi ngoja niendelee kuringa kama navyo ringagaSasa wewe unaambiwa ukweli unakataaa...Ndddddoooooooroooobo weeeee
basi ngoja niendelee kuringa kama navyo ringaga
ndiyo mkuukwani wewe una ringaga?
Ikifika siku anahitaji mbegu usisite kuniona, am siriaz on it kuliko niziache kwenye kimfuko(condom) acha nimsaidie tu mhitajiNashukuru Mungu sina tatizo kwenye hii idara.
To be honest kama kuna mtu wa karibu
sana kwangu anatatizo hili sinta angalia pembeni
ni tamsaidia. ila haya mambo ya kulipwa sintakubali kabisa
kwa maana Mungu kanisaidia nimejitoshelezea.
Kweli sayansi kiboko...in near future tutaanza kuweka terms hizi: mama mzazi, mama mlezi, mama wa kinasabaHapana,kumbuka Tyra hajapenda hili.
Na pia mbegu ni za Tyra na baba yake huyo kijacho...
Sioni tatizo katika hili maana angekuwa hana haja ya mtoto asingehangaika namna hiyo.
Halafu ujue mama yake biological ni Tyra ila by birth ni huyo mwingine....
Duh,sayansi kiboko!
ndiyo mkuu
mda kidogoumeanza lini?
Duuuh huyo hapo mwenye mtoto ni Tyra Banks??!! Hahaaa shikamoo make up!
Btw, kama kumbukumbu zangu haziongopi, nilishawahi kusoma mahali fulani kuwa Tyra ni mmoja kati ya wahanga wa endometriosis. Too bad!
kwakweli kuna wanawake wanateseka sana na inatia huruma sana....wengine umri unaenda na wapo kwenye ndoa za miaka 5+, i wish wangepata nafasi kama tyra na wengineo.Niliona kwenye kipindi siku moja, mama kaamua kumbebea mwanae wa kike mimba baada ya kujaribu kwa muda na mume wake. . Akajifungua twins kwa operation
Hivi Tanzania hatujaanza kuwa na sperm banks.....hahahah....ila damu tu bado tuko nyuma sana dah!.....it's a long way to goIkifika siku anahitaji mbegu usisite kuniona, am siriaz on it kuliko niziache kwenye kimfuko(condom) acha nimsaidie tu mhitaji