MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Nadhani sijawahi kutumia tairi nyingine zaidi ya za kichina. Zinapambana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari sana kiongozi hizo zimeshakwisha na zinaweza kukuletea ajaliHii ni myth tu. Kuna gari ninayo imeingia mwaka Jana December na tairi tatu za 2016, moja ya 2019 nimesafiri nazo sana hazijawahi kuniletea shida hadi leo zipo sijabadili.
Myth.Ni hatari sana kiongozi hizo zimeshakwisha na zinaweza kukuletea ajali
TBS yenyewe wanasena yanaenda mpaka miaka nane ...Hii ni myth tu. Kuna gari ninayo imeingia mwaka Jana December na tairi tatu za 2016, moja ya 2019 nimesafiri nazo sana hazijawahi kuniletea shida hadi leo zipo sijabadili.
Kwa ujumla hii tyre expiry date kila mtu anasema lake.TBS yenyewe wanasena yanaenda mpaka miaka nane ...
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Hebu nieleweshe Tyre huwa ina expire baada ya muda gani?Ni hatari sana kiongozi hizo zimeshakwisha na zinaweza kukuletea ajali
Tyre will expire kwa kuwa determined na factor mbili kwa ufahamu wangu, ambao ni muda tangu itengenezwe (nafkiri after Miaka Minnie au mitano) na kulingana na umbali (kilometer) ambazo tair imetembea (hapa hata Kama muda haijafika kilometer zikifika tupa tairi)Hebu nieleweshe Tyre huwa ina expire baada ya muda gani?
Tyre will expire kwa kuwa determined na factor mbili kwa ufahamu wangu, ambao ni muda tangu itengenezwe (nafkiri after Miaka Minnie au mitano) na kulingana na umbali (kilometer) ambazo tair imetembea (hapa hata Kama muda haijafika kilometer zikifika tupa tairi)Hebu nieleweshe Tyre huwa ina expire baada ya muda gani?
Thank u mkuu! Ila Je ni sawa kusema Dawa zote zilizopo pharmacy/dukani zitaexpire baada ya miaka say 3 au 4 tangu zilipotengenezwa?Tyre will expire kwa kuwa determined na factor mbili kwa ufahamu wangu, ambao ni muda tangu itengenezwe (nafkiri after Miaka Minnie au mitano) na kulingana na umbali (kilometer) ambazo tair imetembea (hapa hata Kama muda haijafika kilometer zikifika tupa tairi)
Umejibu kisiasa hoja ya kisayansiTyre will expire kwa kuwa determined na factor mbili kwa ufahamu wangu, ambao ni muda tangu itengenezwe (nafkiri after Miaka Minnie au mitano) na kulingana na umbali (kilometer) ambazo tair imetembea (hapa hata Kama muda haijafika kilometer zikifika tupa tairi)
Samahani Kama nimejibu vibaya, siasa yangu ni ipi hapo Kaka?Umejibu kisiasa hoja ya kisayansi
Kama expiring date ya hizo dawa itakua determined pia kwa duration kusema hivyo ni sahihihi piaThank u mkuu! Ila Je ni sawa kusema Dawa zote zilizopo pharmacy/dukani zitaexpire baada ya miaka say 3 au 4 tangu zilipotengenezwa?
Vibopa wa jf hao, hongera sana tajiri.tyre ya China inafunga kwenye gari lako? Ongea hela upata tyre, sio hizo
Ni bahati yako tu kuwa hujatokewa na tatizo....Hii ni myth tu. Kuna gari ninayo imeingia mwaka Jana December na tairi tatu za 2016, moja ya 2019 nimesafiri nazo sana hazijawahi kuniletea shida hadi leo zipo sijabadili.
Nafikiri hujasoma post yote. Nimekwambia nimesafiri nazo sana na ni mtu wa kutembea kweli kweli na hazikuwa na shida yoyote. Nimezibadili miezi michache iliopita na nimeweka za Kichina ambazo kuna watu humu humu wanasema hazifai. Nina uzoefu wa kutosha kwenye magari. Na sio mara ya kwanza, na hata kesho nikiagiza gari ingine ikaja na tairi ambazo naziona ziko vizuri sibadilishi kama myth zinavyotisha watu.Ni bahati yako tu kuwa hujatokewa na tatizo....
Lakini haiondoi ukweli kuwa tairi zako zimesha - expire na kwa ushauri tu, yatumie kwa safari fupifupi za hapo mjini/kijijini kwako na kwa kutembea minimum speed isiyozidi 50KM/H huku ukijipanga kununua tairi mpya...
Meanwhile, don't go long safari ukiwa high way kwa speed inayozidi 80KM/H. It's very dangerous for you, your car na kwa watu wengine...!
Asante, umeeleweka..Nafikiri hujasoma post yote. Nimekwambia nimesafiri nazo sana na ni mtu wa kutembea kweli kweli na hazikuwa na shida yoyote. Nimezibadili miezi michache iliopita na nimeweka za Kichina ambazo kuna watu humu humu wanasema hazifai. Nina uzoefu wa kutosha kwenye magari. Na sio mara ya kwanza, na hata kesho nikiagiza gari ingine ikaja na tairi ambazo naziona ziko vizuri sibadilishi kama myth zinavyotisha watu.
Duuh hii imenishtua kidogo. Hizi Gari used tunanunua Japani( tunaita mpya) inakuja unaamviwa tyre hizo poa halafu gari yenyewe ya mwaka 2002. Unachakaza mjini kwa miaka 2 unamuuzia na mwingine anachakaza miaka kama tano hivi speed kila siku 80km/h na hajawahi kubadilisha zaidi ya kuongeza upepo tu.Ni bahati yako tu kuwa hujatokewa na tatizo....
Lakini haiondoi ukweli kuwa tairi zako zimesha - expire na kwa ushauri tu, yatumie kwa safari fupifupi za hapo mjini/kijijini kwako na kwa kutembea minimum speed isiyozidi 50KM/H huku ukijipanga kununua tairi mpya...
Meanwhile, don't go long safari ukiwa high way kwa speed inayozidi 80KM/H. It's very dangerous for you, your car na kwa watu wengine...!