Inauma? Kuambiwa ulichoamini miaka yote ni uongo?Na ndiye aliyeondoka na Ndondi zake na kutuachia ujinga ujinga ulingoni tunaouona sasa!
Kwa taarifa yako hoja zako zako ulizoandika juu ya Tyson kutokuwa bondia ambaye ni overrated kwa mujibu wako (WEWE) umeandika kuwa alipofanya marudiano ya mpambano alipigwa hakuwa ana shinda nikakwambia waambie waandaaji au ili iwe rahisi fanya utume maoni ili kuondoa overrate issues mabondia wapewe mikanda baada ya marudiano (kwa mujibu wa akili yako) ss we unaposema sijui ulikotokea labda ni wewe HUELEWI AU HUJUI ULICHOANDIKAHahaha bob mbona umeshikilia swala la kurudiana hivi unajua tumeanza wapi hadi kufika hapo?
Mbona hueleweki chief?Kwa taarifa yako hoja zako zako ulizoandika juu ya Tyson kutokuwa bondia ambaye ni overrated kwa mujibu wako (WEWE) umeandika kuwa alipofanya marudiano ya mpambano alipigwa hakuwa ana shinda nikakwambia waambie waandaaji au ili iwe rahisi fanya utume maoni ili kuondoa overrate issues mabondia wapewe mikanda baada ya marudiano (kwa mujibu wa akili yako ) ss we unaposema sijui ulikotokea labda ni wewe HUELEWI AU HUJUI ULICHOANDIKA
Umekazania ubishi wa uwongo bila ya Tyson hayo majina mengine tungeyajuaje unakuja wewe kama dish limeyumba unaandika andika tu tafuta wajinga uwaaminishe hizo hoja zako SIYO kwenye hili jukwaa la Great thinkers Kabla hujaanza kuoverrate na kuunderrate jukwaa.
Na Kwenye hii mada umeyumba SANA Brother au hujaelewa ulichoandika watu wakusaidie?.
Uzi husika ndo huo, na ninachokujibu ndo hichoMbona hueleweki chief?
Unachanganya mno mambo.
Ushauri: Endelea kujichanganya humu jukwaani utajua hoja zinapangwa vipi.
Anyway, tukirudi kwenye mada. Huu uzi umeandika kwanini yeye ni overrated. Wenyewe kama wenyewe umejibu hilo swali. Huku ulipodandia wewe kumekuja baada ya mwingine aliyepaniki kama wewe kuleta hoja komedi ndiyo zikajibiwa na hicho ulichokidandia.
Kwahiyo ni hivi: Kama unajua huu uzi umepotosha, kuna Updates nilizipandisha kwenye uzi. Zijibu hizo na jibu uzi husika.
Kama kuna waliokuwepo ungewapeleka wewe maana nahisi masharti na vigezo ulikuwanavyo wakakukataliaBado hakuna aliyeijibu challenge hii - atajwe bondia ambaye alikua wa moto na Tyson wa moto kisha walipokutana Tyson akashinda.
Mzazi kama hauwezi kuandika kistaarabu hakikisha hauendi kuripoti kwa mods. Kila mtu anajua lugha chafu, tunapoamua kuandika kwa hoja tunakua tumeamua kuheshimiana ingawa hatujuani. Kama hauna cha kupinga juu ya hizi hoja rudi kitandani ulale.Uzi husika ndo huo, na ninachokujibu ndo hicho
Kama hukuelewa au Hukujua Ulichoandika katafute mada nyingine huu Uzi ni Upotoshaji unabaki unatapatapa eti tafuta hoja kwenye Uzi kwani hujui ulichoandika?
Kusanya watu kwenye Kijiji chako waambie hizo hoja si huku Mzee Umechemka.
Kiafrica Africa mabondia wetu ni.... Kutoka ma era na kila mmoja alivyohit (the greatest as per era and their time) ka ifuatavyo...
1. Mohamed Ali
2. Mike Tyson
3. Evender Hollyfield / Lennox Lewis .
Hawa nimewaweka pamoja coz they both were at their pick at the same.. Most importantly they were the rival. And most likely they retired autonomously.
4. The Klitscko's Family. Wladmir and his brother Vitali. Hawa walikaa na mkanda muda mrefu mnooo.. Hakukua na mtu wa kuwashusha kwa muda mrefu sana. Hadi alipotokea Tyson Fury akamdunda Wladmir kulee Ukraine. And their reign ended like that...
...from there ...there has never been a boxer matching the qualities of the above four.
.
Sizungumzii fights na stories like .....what came after or what came next.... Im talking about the eras of the remarkably greatest heavy weight boxers of all time.Unaongelea Africa?
Kisha unawataja wakina Muhamad Ali, Tyson, Evander, Lewis na Klitschiko.
Nikisema na vichaa mmeruhusiwa kumiliki smartphone naonekana nawaonea.
Tyson Fury alivyompiga Wladmir, Vitali alimwambia nini Fury? Nini kikafuata baada ya Fury kua challenged na Vitali?
Era ya Klitschiko iliisha pale? Kwahiyo AJ juzi alipigana na has been?
Huu si ujinga huu?
Ulivyokua mpumbavu unadai eti baada ya hao hakuna bondia mwengine aliyenyoko nyoko...
Hizi stori unazozibeba vijiweni ukiwa unazileta kwangu uzipime shwaini wewe. Unamjua Bellew? Haye? Mpuuzi mkubwa. Unajua vikomedi vya hapa na pale vinakupa jeuri ya kuja kuandika matusi kwa wanaume usiowajua si ndiyo? Shenzi.
Wewe na we ni mpuuzi kama wengine tu. Ulivyoanza kuandika majina hapo nikafikiri utaleta hoja badala yake umeleta utumbo na unatarajia usikilizwe.
Jinga
Sizungumzii fights na stories like what came after or what came next.... Im talking about the eras of the remarkably greatest heavy weight boxers of all time.
Sisi huku bongo aka Afrika... Hao ndio tunaowajua. Na infact they are the greatest.. Kila mmoja anastahili heshima ya kipekee kwa muda aliotawala...reigning...
Sasa wewe unaanza kuja na story. Mi sina story.
Unataka nilizungumzie pambano la Joshua na Wlard.. Sio lengo langu. Im talking about eras of the Greatest Champs.
Upo.!?
Hilo lilikuwa la pili, la marudiano, baada ya kuwa amedundwa kisawasawa kwenye pambano lile la kwanza. Walipigana mara mbili chini ya mda mfupi sana. Nadhani ni kwa sababu watu wengi walishindwa kuamini baada ya kuwa amepigwa kwenye lile la kwanzaKwani ile gemu ya evander vs tyson iliisha ? Ile gemu kairibu kwa kumpiga vichwa tyson mpaka akampasua juu ya jicho, tyson naye akaamua kumng'ata , hivyo pambano kuvunjika
Brother .....Unanielekeza mimi jukwaa we boost mood tu.Boss hebu nenda jukwaa la MMU tafuta mtu wa kuleteana naye utoto. Leo sipo kwenye mood, nikiwa kwenye mood moja na wewe nitakutafuta.
Tyson alikua anaelekea ukingoni? Evander alikua anaelekea wapi? Nani alikua mkubwa kiumri kati yao mpaka useme Tyson alikua anaelekea ukingoni il Lennox na Evander walikua wapo kwenye prime?Record zinazungumza, no way you can win against reality. Na haina sababu za maana za kupoteza muda kwa yoyote kupingana na MTU ambaye anafukuzana na uhalisia.
Tyson kwa tulioshuhudia alikuwa mkali kwa kipindi chake si kwa pambano moja tu bali huwezi kukubalika bila kuwa na uwezo. Mapambano yote na akina Evander lenox n.k Tyson alikuwa anaelekea ukingoni huku akiwa ameshashinda kila kitu.