Tyson alikuwa anabebwa, overrated

Tyson alikuwa anabebwa, overrated

Umeweka updates nyingine kwa kutumia hasira mkuu.
Jifunze kukabiliana na challenges.

My conclusion is that maybe you have personal issues with Tyson,
maybe chuki binafsi au ni wivu tu.

Huyo legendary alishapita na mambo yake, tunategemea pambano lake mwaka huu na Evander Holyfield miaka 23 baada ya pambano lao 1997.

Litakuwa pambano la burudani tu kati ya Holyfield 57 years na Tyson 53 years.
Kwa ukongwe wako na conclusion uliyokuja nayo hata hamuendani. Conclusion? Nina chuki, ila hauonyeshi kivipi.

Pengine ulitakiwa kusema nina chuki kwakua nimeandika uongo au nimeongeza chumvi. Lakini conclusion yako wewe? Ni nina chuki. Kisa nimeandika ukweli?

My first time knowing boxing ilikua najua Tyson = boxing nothing less. Now watu wengi mmestuck hapo hamuamini mkiambiwa alimkimbia Foreman, hamuamini kama Don King alimbeba, hamuamini kua alipigana na wazee na journeymen.

Conclusion yako ni nyepesi kweli kweli. Holyfield na Tyson wanaweza wakakutana lakini kamsikilize na Lights Out Toney kasema nini juu ya hawa wawili kurudi.
 
Tyson yupi? Before jail or after jail?
Before jail Tyson alikuwa undisputed..
Mikanda yote ya kwake..
Na ukishakuwa undisputed huchagui bondia wa kupigana nae..
Unaletewa na vyama their no 2..

Ndo maana Holifield alipangwa kupigana na Tyson ..kama ubingwa wa dunia..but Tyson akapoteza Kwa buster..
Holifield kama no 2 akaenda pigana na buster kwanza na sio Tyson...

Tyson akapangwa kupigana na Holifield na tarehe ikapangwa..but akahukumiwa jela..
 
Tyson yupi? Before jail or after jail?
Before jail Tyson alikuwa undisputed..
Mikanda yote ya kwake..
Na ukishakuwa undisputed huchagui bondia wa kupigana nae..
Unaletewa na vyama their no 2..

Ndo maana Holifield alipangwa kupigana na Tyson ..kama ubingwa wa dunia..but Tyson akapoteza Kwa buster..
Holifield kama no 2 akaenda pigana na buster kwanza na sio Tyson...

Tyson akapangwa kupigana na Holifield na tarehe ikapangwa..but akahukumiwa jela..
Umeeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom