mkuu katika ngumi, KO inategemea power punch! Walio katika top ten wote wanahiyo power punch, kwahiyo kusavaiv kwenye ring ni lazima ujue pia kujilinda na hiyo power punch...sasa utascore vipi ushindi! Ni kuwa offensive, ku hit more target , kujilinda mpinzani wako asipate target kuscore points. Aliye hit more punches na ku hit target ndie winner by points. Ni kama ushindi aliopata maywether kwa pacquiao. Maywether hana power punch, pac ana power punch. Kwahiyo maywether aliscore more points kwa ku hit targets na kukimbia kuzuia power punches za pac! Kuna watu pia ni wagumu kuwapiga ko. Mfano holyfield enzi zake. So kuna kipindi ushindi wa points upo valid.