Tyson Fury bingwa mpya wa uzito wa juu Duniani baada ya kumdunda Klitschko

Tyson Fury bingwa mpya wa uzito wa juu Duniani baada ya kumdunda Klitschko

mkuu katika ngumi, KO inategemea power punch! Walio katika top ten wote wanahiyo power punch, kwahiyo kusavaiv kwenye ring ni lazima ujue pia kujilinda na hiyo power punch...sasa utascore vipi ushindi! Ni kuwa offensive, ku hit more target , kujilinda mpinzani wako asipate target kuscore points. Aliye hit more punches na ku hit target ndie winner by points. Ni kama ushindi aliopata maywether kwa pacquiao. Maywether hana power punch, pac ana power punch. Kwahiyo maywether aliscore more points kwa ku hit targets na kukimbia kuzuia power punches za pac! Kuna watu pia ni wagumu kuwapiga ko. Mfano holyfield enzi zake. So kuna kipindi ushindi wa points upo valid.

tyson kashinda kwa point mara ngap?
 
Kwa mara ya kwanza Klitschko hakua na height advantage...... Mabondia wengi aliwapiga kwa sababu hii.

Fury alikua anapiga othordox na southpaw huku akidokoa kwa style ya Ali....

Mara nyingine alikua akimdhihaki....mpaka mtanange unaisha Klitschko alikua amekatika upande wa kulia chini ya jicho na kushoto pia.

Kudos Fury
 
QUOTE=inamankusweke;14739287]sipendi ushindi wa point,ndomana naamin hakuna bondia bora kama tyson,ngumi mvululu kama vyumba maktaba[/QUOTE]



Ngumi za kimataifa zilianza kupoteza mwelekeo pale watu kama akina lennox lewis walipoanza kutwaa mataji makubwa ya dunia. Watu hawa hupigana kwa staili ya 'kuwakimbia' wapinzani wao kwenye ring na kuwashika wanapoanza kuona 'mvua' inakaribia. Wanatupa ngumi kwa staili ya kuvizia mpinzan kwa ngumi za kudonoa. Hawa akina Klisko wote nao ndo staili yao hiyo.
 
Ameomba rematch,lilikuwa pambano lililoboa mno,ni muda sahihi kustafu sasa..
 
tyson kashinda kwa point mara ngap?

mkuu umesema hupendi ushindi wa points, mie nimekwambia kwamba sometimes kuna mabondia ni vigumu kuwapiga KO. Kwahiyo ni vema kutafuta ushindi wa points....nikakupa mfano wa mayweather na pac. Tyson alishinda kwa points mapambano yote aliyokutana na mabondia ambao hawakumuogopa....ambao walienda nae pound for pound...nawengine walimpiga tafuta videos uone....
 
Back
Top Bottom