TZ work permit

TZ work permit

vulcan

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,742
Reaction score
2,459
Do i need a work permit to attend a conference in Tanzania?? sitaki kuvumaniwa na hawa makachero wa BongoLand.
 
Conference ya muda gani ? Kwa uelewa wangu “conference” haihitaji work permit bali “business VISA” kwa nchi nyingi. Ushauri wangu njoo kimya kimya, fanya kazi yako kula bata rudi Kenya. Mambo ya siasa za huku ukiwa huku hayakuhusu, ni kupiga kazi na starehe tu.
 
Hatari sana, hakikisha umewaambia uhamiaji kwamba unakwenda conference na wakushauri kabisa kipi unahitaji, iwe business visa au la.
Pia hakikisha unaye wakili Mtanzania mnayefahamiana naye na uwe muda wote na namba zake za simu
Ukiweza pitia ubalozi wa Kenya, jisajiri pale na uwape taarifa unakwenda kufanya nini Tanzania
Hakikisha muda wote haupo mwenyewe maana jamaa wanaweza kukufuata fuata nyuma kimya kimya kama ilivyo Korea Kaskazini, hivyo kama upo na Wakenya wengine, muwe mnakaa hoteli moja nyote, na kwenda maeneo ya burudani nyote, hata mkiwa maeneo ya burudani usikwende kwa choo mwenyewe, kuwa na mwenzako anayefuata na kusimama karibu nawe au mnakwenda makundi makundi.
Ukigongewa mlango hotelini, kabla ya kufungua kujua nani anagonga mpigie simu wakili au ubalozi wakae on standby.
Hudhuria conference yako na usitake kujadili na Watanzania chochote kinahusu siasa zao, ikishindikana kama vipi msifie sana Magufuli, waambie jinsi Kenya tunampenda rais wao huyo na tunaomba aje atutawale hata siku mbili, kuanzia kwa dereva wa taxi hadi wahudumu wa hoteli muda wote mkijadili chochote wewe sifia tu rais, imba pambio zote za sifa, kama enzi zetu zile za Moi na utawala wa KANU.
Siku zikiisha ukigeuza na kutua JKIA, shukuru Mungu na kurejea hali yako ya kawaida.
 
Hatari sana, hakikisha umewaambia uhamiaji kwamba unakwenda conference na wakushauri kabisa kipi unahitaji, iwe business visa au la.
Pia hakikisha unaye wakili Mtanzania mnayefahamiana naye na uwe muda wote na namba zake za simu
Ukiweza pitia ubalozi wa Kenya, jisajiri pale na uwape taarifa unakwenda kufanya nini Tanzania
Hakikisha muda wote haupo mwenyewe maana jamaa wanaweza kukufuata fuata nyuma kimya kimya kama ilivyo Korea Kaskazini, hivyo kama upo na Wakenya wengine, muwe mnakaa hoteli moja nyote, na kwenda maeneo ya burudani nyote, hata mkiwa maeneo ya burudani usikwende kwa choo mwenyewe, kuwa na mwenzako anayefuata na kusimama karibu nawe au mnakwenda makundi makundi.
Ukigongewa mlango hotelini, kabla ya kufungua kujua nani anagonga mpigie simu wakili au ubalozi wakae on standby.
Hudhuria conference yako na usitake kujadili na Watanzania chochote kinahusu siasa zao, ikishindikana kama vipi msifie sana Magufuli, waambie jinsi Kenya tunampenda rais wao huyo na tunaomba aje atutawale hata siku mbili, kuanzia kwa dereva wa taxi hadi wahudumu wa hoteli muda wote mkijadili chochote wewe sifia tu rais, imba pambio zote za sifa, kama enzi zetu zile za Moi na utawala wa KANU.
Siku zikiisha ukigeuza na kutua JKIA, shukuru Mungu na kurejea hali yako ya kawaida.

woooi, this sounds scary like hell.
 
Hatari sana, hakikisha umewaambia uhamiaji kwamba unakwenda conference na wakushauri kabisa kipi unahitaji, iwe business visa au la.
Pia hakikisha unaye wakili Mtanzania mnayefahamiana naye na uwe muda wote na namba zake za simu
Ukiweza pitia ubalozi wa Kenya, jisajiri pale na uwape taarifa unakwenda kufanya nini Tanzania
Hakikisha muda wote haupo mwenyewe maana jamaa wanaweza kukufuata fuata nyuma kimya kimya kama ilivyo Korea Kaskazini, hivyo kama upo na Wakenya wengine, muwe mnakaa hoteli moja nyote, na kwenda maeneo ya burudani nyote, hata mkiwa maeneo ya burudani usikwende kwa choo mwenyewe, kuwa na mwenzako anayefuata na kusimama karibu nawe au mnakwenda makundi makundi.
Ukigongewa mlango hotelini, kabla ya kufungua kujua nani anagonga mpigie simu wakili au ubalozi wakae on standby.
Hudhuria conference yako na usitake kujadili na Watanzania chochote kinahusu siasa zao, ikishindikana kama vipi msifie sana Magufuli, waambie jinsi Kenya tunampenda rais wao huyo na tunaomba aje atutawale hata siku mbili, kuanzia kwa dereva wa taxi hadi wahudumu wa hoteli muda wote mkijadili chochote wewe sifia tu rais, imba pambio zote za sifa, kama enzi zetu zile za Moi na utawala wa KANU.
Siku zikiisha ukigeuza na kutua JKIA, shukuru Mungu na kurejea hali yako ya kawaida.

Apparently that is how low they have sunk. I realized though kwamba kuna signs ya utabeli that they can follow you like that
 
woooi, this sounds scary like hell.

Don't be scared bro, just stay on the right track and you will enjoy your time in Tanzania, ensure anytime a political discussion is invoked, always praise president Magufuli, talk about all the good stuffs you can think of, memorize the various things CCM guys in here talks of him, you will be very safe.
 
Don't be scared bro, just stay on the right track and you will enjoy your time in Tanzania, ensure anytime a political discussion is invoked, always praise president Magufuli, talk about all the good stuffs you can think of, memorize the various things CCM guys in here talks of him, you will be very safe.

Hadi mwite Jiwe, Magu Mawe..... Duh!
 
Don't be scared bro, just stay on the right track and you will enjoy your time in Tanzania, ensure anytime a political discussion is invoked, always praise president Magufuli, talk about all the good stuffs you can think of, memorize the various things CCM guys in here talks of him, you will be very safe.
wtf let me try to remember things they say about TZ, eg "wako on the rait traki","tutaipiku Kenya kwenye uongozi wa JPM" pia nitachangia kuhusu ukulima wa korosho na jinsi JPM anavyofanya mambo ya busara kununua Korosho kutoka kwa wakulima... sitasahau mambo ya FDI pia.. i got enough material bro
 
Conference ya muda gani ? Kwa uelewa wangu “conference” haihitaji work permit bali “business VISA” kwa nchi nyingi. Ushauri wangu njoo kimya kimya, fanya kazi yako kula bata rudi Kenya. Mambo ya siasa za huku ukiwa huku hayakuhusu, ni kupiga kazi na starehe tu.
Wacha kumuingiza Mkenge huyu anajulikana humu sasa asije akaingia na tourism visa wakati anakuja conference. Itakula kwake!
 
wtf let me try to remember things they say about TZ, eg "wako on the rait traki","tutaipiku Kenya kwenye uongozi wa JPM" pia nitachangia kuhusu ukulima wa korosho na jinsi JPM anavyofanya mambo ya busara kununua Korosho kutoka kwa wakulima... sitasahau mambo ya FDI pia.. i got enough material bro

Hahaha... Naona chorus umeishika bro..... Usisahau Kigoma kama Dubai ya Africa.
 
Hahaha... Naona chorus umeishika bro..... Usisahau Kigoma kama Dubai ya Africa.
ha ha one more thing, "Jeshi letu ni very powerful in Africa, UK na US wanatuheshimu sana kwa kumtoa Idi Amin"
 
ha ha one more thing, "Jeshi letu ni very powerful in Africa, UK na US wanatuheshimu sana kwa kumtoa Idi Amin"

Hahaha.... I say.... Sasa tengeneza sauti vizuri......Drimu Laina ni nzuri sana inashinda Qatar Airlines na inaanzisha safari za Bombay Mwezi wa Kumi
 
Do i need a work permit to attend a conference in Tanzania?? sitaki kuvumaniwa na hawa makachero wa BongoLand.
Good to see that you are actively seeking information on what is legal/Not legal in other countries before travelling..Ignorance of the law is No defence. Its very clear for example that alchohol and homosexuality is banned in Most of middle east. Drugs will earn you a hanging in China.
That is how to be a good global citizen , however its best you visit Tz embassy and seek clarification for example is you plan to travel to Tz and have sex with random males at Dar
 
Back
Top Bottom