U JUHA WA AJIBU NI WA KIWANGO CHA FLYOVER

Watu wanakimbilia kumlaumu ajibu bila kuangalia upande wa pili. Wana uhakika gani kama alifanikiwa majaribio? Hata kama walionesha interest lakini wanaweza kubadilika baada ya kugundua kitu ambacho hawakukijua awali
Amezingua wakala wake kwenye mazungumzo.... Hakuitwa kwa majaribio alitakiwa mazimamazima.... Anaenda Simba nakwambia ....
 
Wajinga ndiyo waliwao hama kweli. Wacha akachome mahindi maana ndicho alichochagua na muda na bahati aliyochezea atajutia baada ya 2yrs.
 
Usimlaumu Ajibu kaka,kuna kitu kinaitwa personal terms kama hakijafikiwa vizuri mambo hayawezi kwenda.Hata ukifuatilia personal terms za ajibu hazikufikiwa ndo maana mambo hayjaenda sawa,ebu tulicheki na hilo sio tunalaumu bure
 
Write your reply...Shida ni tamaa za Viongozi wa klabu na wakala wa mchezaji . Tp walijua kua Ajibu yupo huru ndio maana wali mtaka na wakala wa ajibu alishindwa kutoa maelezo moja kwa moja kuwa Ajibu kua teyari amesha saini mkataba na timu nyinge na pesa ya advance ameshachukua.

Na simba nao tamaa zime waponza baada ya kusikia ishu ya Mazembe wa kaona ndio muda wa kupiga pesa wakajitokeza wao ndio wenye haki na ajibu na wa kataka 220m na 20% ya hela endapo mazembe wata muuza ajibu kwa timu nyingine.

ukweli masharti walio taka simba ni tofauti na mchezaji husika na Bado tutaendelea kusema simba na Yanga ndio timu zinazo ua vipaji vya soka la Bongo
 
Sasa umeshaandika Mazembe wameshindwana na Simba sio Ajib then unaandika hajitambui au ulitaka Ajib azitoe yeye hizo dola 100,000 avunje mkataba na simba aende mazembe?
 
Je unajua alikuwa anaenda kulipwa mshahara kiasi gani pale TP Mazembe?
Ajib huwezi mlinganisha na Samata, Samata alikuwa bado kijana mdogo Ajib umri umeenda ana miaka kama mi4 tu ya kucheza kwa kiwango cha juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…