Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Mashangazi wengine wananyanyasa sana vibenteni, tena ukute shangazi la kanda fulani fulani za Tanzania.
Kwanza wa bahili kutoa pesa na wakikupa ni kwa masimango na unaifanyia kazi kwelikweli.
Wanaweza hata kukupa kazi ya kufua nguo za ndani, unakuta kajaza kitenga cha nguo hadi zaidi ya 40. Ukitoka hapo uingie jikoni kupika, ukimaliza uoshe vombo.
Yeye ananenepa we unakonda kwa mateso unayopitia. Msione kibenteni kinaishi maisha mteremko mkadhani kwa wepesi. Mambo magumu kwa ground.
Hapo pia sometimes inakulazimu kuharibu nguvu za kiume kwa kupaka mkongo ili usiwe na kazi mbaya kwa ofisi.
Kazi ya hasara sana hii.....😂😂
Kwanza wa bahili kutoa pesa na wakikupa ni kwa masimango na unaifanyia kazi kwelikweli.
Wanaweza hata kukupa kazi ya kufua nguo za ndani, unakuta kajaza kitenga cha nguo hadi zaidi ya 40. Ukitoka hapo uingie jikoni kupika, ukimaliza uoshe vombo.
Yeye ananenepa we unakonda kwa mateso unayopitia. Msione kibenteni kinaishi maisha mteremko mkadhani kwa wepesi. Mambo magumu kwa ground.
Hapo pia sometimes inakulazimu kuharibu nguvu za kiume kwa kupaka mkongo ili usiwe na kazi mbaya kwa ofisi.
Kazi ya hasara sana hii.....😂😂