U - 'nice guy' umeniponza

salama sana Kenny, yaani huu uzi umenifanya nichelewe kwenda lunch

yaani mbavu sina hapa

duuuh JF kiboko ya kuondoa stress
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nomaa sana mkuuu jf kiboko ya kutoa stress mkuu pande zp unapata lunch ?
 
Tatizo ww sio muhuni na baadhu ya mademu wanapenda wanume wahuni mkuu.
 
Nafsi yako inakutesa mwenyewe,
Siku hiz huwa hawatongozw Hao Akikuonyesha meno tuu unajiongeza
 
Mtoto hajibu texts za messenger.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimerudisha majeshi mkuu,

Dogo kumbe alirenew line afu siunajua hajui issue za kusave namba kwa email, so nlivomcheki akanambiaa hakuwa na namba yangu, saiv tunaongea na Jana kanipigiaaa[emoji1]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimerudisha majeshi mkuu,

Dogo kumbe alirenew line afu siunajua hajui issue za kusave namba kwa email, so nlivomcheki akanambiaa hakuwa na namba yangu, saiv tunaongea na Jana kanipigiaaa[emoji1]
Hahaha dah umemuambia asijibu watu wa FB nini
 
Haujakuponza, huna mbinu za utongozaji tu.
 
Huna hela. Tafuta hela uache kusingizia introversion.
 
Kuna mwamba mmoja vyumba vyetu vipo jirani sana mshikaji ni bad boy na muonekano wake wa kishamba tu yani ni mtu ambae namzidi kila kitu kuanzia muonekano uvaaji mpaka maisha

Hii inatosha kuonesha jinsi gani wewe ni teenager
Afu aka katoto ndio maana demu alikabwaga ,mwanaume unawezaje jikuta kiivooo. Tena mademu wakali katawasikiaga tuu ..
 
Kavutiwa na muhuni anayewatindua mademu kila siku akapata uhakika kama anawatindua daily basi jamaa atakuwa na nguvu za kiume za kutosha.

Sasa wewe upo upo tu mdogo angu hata hutindui, angejuaje kama nguvu zipo au ndo wanaume wa kinondoni!
 
Ishi maisha yako utampata wa kufanana naye,concentrate na shughuli zako,hao mara nyingi hurudi kukutafuta akili ziki wakaa sasa. Sasa hivi bado akili yake haijakua.
Jamaa anajihukumu kwa kutumia akili ya mwanamke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanawake hawajawahi just wanachotaka kwenye hii dunia .

Kujikosesha Raha kisa mwanamke ni upumbavu.

Laiti ungekuwa una muda wa kujiwazia maisha yako ya baadae Wala usingekuwa na time ya kumuwaza mwanamke mpumbavu aliekutema.

Chase a check not a bitch
 
Mvuta bangi hachelewi kunyonya hata 0713..ukute ameskia jamaa muhuni anasifiwa na wanawake wengine hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muhuni anapiga deki mnduku bila wasiwasi
 
Acha kumpetipeti demu kishamba wewe atakuona fala akizubaa we piga mashine popote, mimi nishawahi kumpiga demu mashine huku tukiwa juu ya trei la mayai na wala mayai hayakuvunjika, yani mpaka leo hii demu kaolewa lakini akiniona ananiambiaga yua so amazing. Jiongeze kijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…