Aisee back in days niko chuo kuna demu mmoja mkali kinyama, kitu paperwhite, kila nilikua nikikutana nae nikitaka kujaribu kupiga sound ananiambia you're trying to make stories anasepa, nami kwa unyonge najikongoja nasepa, mm nilikua naonekana mstaarabu na mpole kwa kuniangalia, kumbe hakujua[emoji1]
baadae nikaona miyeyusho nikampotezea, nikapiga sound madem wengine wawili pale chuo, wote wakajaa, nikawa najipigia kwa interval, kumbe alijua bhana kwamba huyu mwamba ni mafia ni vile tu sura haiendani na matukio yake
baada ya muda fulani, nikawa nishagraduate nipo naishi somewhere nakula zangu life na zile toto zangu ratiba zao nishawapangia kabisa, ebana ee kuna siku akanitumia mesej mwenyew, 'eti uko wapi'
nikamwambia gheto, basi akasema 'nataman nije kukusalimia', nikamwambia karibu
after 1hr akaniambia amefika, nikampokea, tumekaa sebuleni story chache vitendo vingi(staki shobo), huku ukutani flat screen ikituchangamsha kwa kitu cha Dstv, to make story short nilipiga yule demu(rough sex), nlimshusha kwenye sofa mechi ikapigiwa kwenye zulia chini, bao mbili, la tatu nikampeleka chumbani,(niliuza mechi lakini baada ya game nlimpima akawa yuko fresh, maana mm ni mobile hospital[emoji1]) baadae jioni alirud chuo, akanitumia txt, yaan unavyoonekana na ulichonifanya leo sikudhania kama wewe ni mwamba hivyo, kumbe ndiyo maana fulani kakung'ng'ania,(alimjua mmoja kati ya wale mademu zangu maana alikua classmate wake), baadae nilimla mara ya pili then nikamtema(demu mzuri ufundi kidogo sana) japo ananisumbua mpaka leo huu mwaka wa pili,
Slogan ya mwenye nacho huongezewa ina apply sana kwa wanawake, ukiwa na mademu zako unajipigia unapotaka ni ngumu sana kukataliwa na demu mpya, sijui ni damu inakua imechafuka( nafikri pia unakua huna cha kupoteza coz utelezi wa uhakika unao), na mwanaume muhuni ni ngumu kukataliwa na demu kwa kua yeye huenda straight kwenye point wakati wewe mara umwambie mkale samaki samaki, mara mwende Coco, mara muangalie Squid game(demu katokea kibaha huko ww unamchanganya tu na umjini wako), wakat hata mzigo hujala, kula kwanza mzigo then hizo offer na showoff zitafuata[emoji1]