Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
-
- #41
Bangi kwenye familia yetu ni kitu ambacho atukitumii kabisa labda kama kuna njia nyingine unaweza nisaidia freshAnza kuvuta bangi tu, itakufungulia njia sahihi unayotakiwa kupita🐒
Umenifanya nicheke japo nina huzuni😂😂Usiogope.. Muhuni atamzingua siku si nyingi, ataanza kujileta leta kwako.. na kwa uzembe wako utaona ni zali la mentali--
Vitafunwa vipo wapiChai.
Tatizo lako unawachelewesha, kadri siku zinavyokwenda mwanamke anazidi kupoteza interest na wewe. Wakaribishe kwako, andaa mazingira ya kuwala.Thanks sana mkuu kwa ushauri wako lakini 90% ya wanawake huwa naachana nao kwa staili hii hii sasa sijui tatzo liko wapi
Unaona sasa🙄🙄Ila wavuta mjani watamu..
Bro we uliwezaje kutoka kwenye hichi kitanziU niceguy ni mbaya Sana back days nilikuaga hivyo lakin nilijibadilisha baada ya kuona napishana na watoto wazuri ila kwa appearance yang ni niceguy lakn mtoto akishakuwa ndani ya himaya ni mtu mbaya Sana huwa nambadilikia bas utakuta tu anakuganda kuwa niceguy co tatzo Bali husiyaendeshe mahusiano ki niceguy unafeli
Unice guy utazidi kukuponza..badilikaUnaona sasa🙄🙄
Kukataliwa ni sehemu ya maisha ya mtoto wa kiume, hivyo zoea na wala usijione una tatizo.Thanks sana mkuu kwa ushauri wako lakini 90% ya wanawake huwa naachana nao kwa staili hii hii sasa sijui tatzo liko wapi
Kama wewe ni ke na umethibitisha kweli hapo inabidi nibadilikeUnice guy utazidi kukuponza..badilika
🚶🚶
Sawa sawa mkuu nimekuelewaKukataliwa ni sehemu ya maisha ya mtoto wa kiume, hivyo zoea na wala usijione una tatizo.
Ila tu achana kabisa na hao hood-rats wa uswahilini, tafuta wanawake wenye akili timamu.
Yeah, bad boys tupo hapa, waongezee sauti mabishoo wasikieBad boys are sweet and addictive.....
Tafadhali ukijibiwa unistue... maana nataka nimuulizie jinsia yake baada ya kupata jibu lakoUmri wako tafadhali
Mkuu hujanipa feedback yayule mtotoWakati nakua nipo la nne niliambiwa ukiwa unalala sana na wanawake mwisho unakua kama una sumaku nao unakua unawavuta tu.
Na hiyo ni kweli.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tafadhali ukijibiwa unistue... maana nataka nimuulizie jinsia yake baada ya kupata jibu lako
Ahsante
Nadhani nyie muendee tu kusali msiache kwenda jumuiya....Sasa na cc mnatufikiriaje?