Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
[emoji23][emoji23][emoji23], Ushauri mbaya ChifuAnza kuvuta bangi tu, itakufungulia njia sahihi unayotakiwa kupita[emoji205]
Dogo huyu atakuw yupo chini ya miaka 23 hata uandish wake naona hain sqbabu ya kumshaurKuna mwamba mmoja vyumba vyetu vipo jirani sana mshikaji ni bad boy na muonekano wake wa kishamba tu yani ni mtu ambae namzidi kila kitu kuanzia muonekano uvaaji mpaka maisha
Hii inatosha kuonesha jinsi gani wewe ni teenager
12th man theory iko hivi.Embu tupe hiyo THEORY basi..
Tumeachia serikali itazika.....Hahahahahhahahah mchague wenyewe sasa kuzika au kusafirisha π
Mbona Afande sele alikimbiwa na mke Mama Tunda!?Ila wavuta mjani watamu..
Teh teh tehKama una MB ingia YouTube tafuta wimbo wa Banana Zorro unaitwa Zoba ufanye uwe playlist yako ya Leo.
hope unaelewa kimalkiaYani hapa naongea kwa jazba sana iko hv, hapa nilipopanga somewhere in Kijitonyama kuna wanawake wengi sana ila asilimia kubwa ni wake za watu sema ndio hivo pia uwalu walu mwingi ukiwa mjanja unacharaza wote.
Sasa mimi kitabia ni nice guy sana yani ni mtu nisiye na mambo mengi huwa nipo bize tu na shughuli zangu, madem wengi wamekuwa wakijilenga sema huwa atufiki mbali tunaachana nadhani kutokana na tabia zangu za kuwa cool sana.
Sasa juzi kati kuna mpangaji mwenzangu alimleta mdogo wake mtoto mmoja mzuri sana kutoka kibaha huko ni mdada mkubwa tu sema ni mzr balaa basi yule dem akaanza kuniletea mazoea kibao yani dem alikuwa kanielewa mbaya nikaona bac hapa tayari nishaokota dodo chini ya mnazi bac mimi na unice guy wangu nikawa najipanga namna ya kuanza kupeleka mashambulizi nadhani mnajua introvert huwa atukurupuki.
Sasa tukiachana na hilo pia kuna mwamba mmoja vyumba vyetu vipo jirani sana mshikaji ni bad boy na muonekano wake wa kishamba tu yani ni mtu ambae namzidi kila kitu kuanzia muonekano uvaaji mpaka maisha kwahiyo alikuwa anipi presha hata kidogo ni mtu wa tandale huko sema tu kaja kuishi sehem iliyoostaarabika, bac huwa anakuja pale home na wahuni wanakula bangi za kutosha na pombe ngumu k-vant na konyagi kwa sana bac jamaa huwa analeta madem pale gheto kwa siku anabadilisha hata watatu sometime anaingiza hata wawili kwa mpigo sometime wanakuwa washkaji watatu na madem watatu bac kinachoendelea humo ndani balaa harufu ya bangi na madem wanapigwa shipa mpaka nje huku watu wanasikia.
Basi bhana kwa tabia zile za mshkaji ndio nikazidi kuwa na amani kwamba jamaa kwa anachokifanya bac awezi kumchukua dem yoyote hapa ukizingatia mimi ni mstaarabu sana yani hata kuingiza dem pale gheto sijawahi bac hapo nikaamini kwamba nina nafasi kubwa ya kumnasa huyu dem mpya aisee kumbe nilikuwa najidanganya maana yule dem mazoea ya kaanza kupungua nikajaribu kuyaforce tukawa fresh ila nlivomtokea dem akachomoa halafu akanikataa mazima aisee niliumia sana.
Sasa leo muda wa saa mbili kasoro usiku huu nimetoka kwenye harakati zangu dem akanipa simu yake nimsetie muda sasa wakati naset c ikaingia text ya yule mwamba jirani yangu bad boy mtoto wa tandale anamwambia dem yeye tayari ashafika lodge flani manzese aisee niliingiwa na baridi yani sikuamini macho yangu.
Nikawaza hv huyu dem amekosa nini kwangu mpaka aende kwa muhuni kama huyu yani mimi na usmat wangu kanipiga chini kaenda kumkubalia mvuta bangi muhuni mzee wa kubadilisha madem na huyu dem anajua fika jinsi jamaa alivyo na madem wengi na bado kamkubalia pamoja na uhuni wake mimi mtu smart ambae sina tabia hizo nimepigwa chini aisee yani hapa nilipo nimechoka nimemrudishia cm yake na tayari muda huu yuko njiani kwenda kutinduliwa na muhuni. Nimeumia sana kwakweli sijui sisi nice guy huwa tunashida gani maana huyu nikama dem wa 8 namkosa kizembe kutokana na atitude zangu.
Naombeni msaada nifanyeje niachane na huu u nice guy maana sioni faida zake kwenye kutafuna mbususu zaidi ya hasara tu nikikumbuka yule dem alivyomzr et anaenda kutinduliwa na yule muhuni muda mfupi ujao nazidi kuchanganyikiwa
Duuh..watu mna maneno ya shomboAlikwambia anataka shβga ?? Amna cha u nice guy wala nini Acha kulamba lips kijana
12th man theory iko hivi.
Kuna demu mzuri ndani ya room na kuna wanaume 11 ndani wote wakimsifia kuwa ni mrembo na
Huyu ni matatizo binafsi nyeto haina urafiki na wadau wa hivi kabisa, huyu anaweza leta u Mr. Nice guy akasema 'Ooh wanangu sorry nimewamwaga bafuni, so sorry dady loves you' [emoji23][emoji23][emoji23]Punguza urafiki na sabuni
Alisema 25 Mkuu [emoji23][emoji23]Tafadhali ukijibiwa unistue... maana nataka nimuulizie jinsia yake baada ya kupata jibu lako
Ahsante
Aisee πππππHuyu ni matatizo binafsi nyeto haina urafiki na wadau wa hivi kabisa, huyu anaweza leta u Mr. Nice guy akasema 'Ooh wanangu sorry nimewamwaga bafuni, so sorry dady loves you' [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante sana mkuu na ushauri wako muruaUna anaangaikaje na mwanamke Mkuu wewe fanya mambo yako ikiwa ni pamoja na kumpata yeye.
Kuwa smart sawa ila pia uwe na uwezo wa kuongea, sio unamtaka manzi alafu unaanza visa wewe sema naye alafu sio kisema naye kimafumbo mafumbo wewe funguka ila iwe kimkakati sasa.
Hadi siku akuambie unaonekana mstaarabu ila kumbe mshenzi, then usianze kujipa maujiko au kujitetea wewe kuwa normal alafu fanya mambo yako.
Yaani wewe fanyaga mambo yako tu, kuwa mwanaume aliyepevuka sio kijana wala mtoto.
Bora ww mkuu mie jobless lkn nawala sina issue, juzi tu nimekutana na chombo kimoja cha chuo bonge la tarko road, nilivaa smart nikam approach nikampiga fix za maana akaingia line, kesho yake tukapanga aje hom, namaanisha bado nambonji kwa wazee [emoji23]Yani hapa naongea kwa jazba sana iko hv, hapa nilipopanga somewhere in Kijitonyama kuna wanawake wengi sana ila asilimia kubwa ni wake za watu sema ndio hivo pia uwalu walu mwingi ukiwa mjanja unacharaza wote.
Sasa mimi kitabia ni nice guy sana yani ni mtu nisiye na mambo mengi huwa nipo bize tu na shughuli zangu, madem wengi wamekuwa wakijilenga sema huwa atufiki mbali tunaachana nadhani kutokana na tabia zangu za kuwa cool sana.
Sasa juzi kati kuna mpangaji mwenzangu alimleta mdogo wake mtoto mmoja mzuri sana kutoka kibaha huko ni mdada mkubwa tu sema ni mzr balaa basi yule dem akaanza kuniletea mazoea kibao yani dem alikuwa kanielewa mbaya nikaona bac hapa tayari nishaokota dodo chini ya mnazi bac mimi na unice guy wangu nikawa najipanga namna ya kuanza kupeleka mashambulizi nadhani mnajua introvert huwa atukurupuki.
Sasa tukiachana na hilo pia kuna mwamba mmoja vyumba vyetu vipo jirani sana mshikaji ni bad boy na muonekano wake wa kishamba tu yani ni mtu ambae namzidi kila kitu kuanzia muonekano uvaaji mpaka maisha kwahiyo alikuwa anipi presha hata kidogo ni mtu wa tandale huko sema tu kaja kuishi sehem iliyoostaarabika, bac huwa anakuja pale home na wahuni wanakula bangi za kutosha na pombe ngumu k-vant na konyagi kwa sana bac jamaa huwa analeta madem pale gheto kwa siku anabadilisha hata watatu sometime anaingiza hata wawili kwa mpigo sometime wanakuwa washkaji watatu na madem watatu bac kinachoendelea humo ndani balaa harufu ya bangi na madem wanapigwa shipa mpaka nje huku watu wanasikia.
Basi bhana kwa tabia zile za mshkaji ndio nikazidi kuwa na amani kwamba jamaa kwa anachokifanya bac awezi kumchukua dem yoyote hapa ukizingatia mimi ni mstaarabu sana yani hata kuingiza dem pale gheto sijawahi bac hapo nikaamini kwamba nina nafasi kubwa ya kumnasa huyu dem mpya aisee kumbe nilikuwa najidanganya maana yule dem mazoea ya kaanza kupungua nikajaribu kuyaforce tukawa fresh ila nlivomtokea dem akachomoa halafu akanikataa mazima aisee niliumia sana.
Sasa leo muda wa saa mbili kasoro usiku huu nimetoka kwenye harakati zangu dem akanipa simu yake nimsetie muda sasa wakati naset c ikaingia text ya yule mwamba jirani yangu bad boy mtoto wa tandale anamwambia dem yeye tayari ashafika lodge flani manzese aisee niliingiwa na baridi yani sikuamini macho yangu.
Nikawaza hv huyu dem amekosa nini kwangu mpaka aende kwa muhuni kama huyu yani mimi na usmat wangu kanipiga chini kaenda kumkubalia mvuta bangi muhuni mzee wa kubadilisha madem na huyu dem anajua fika jinsi jamaa alivyo na madem wengi na bado kamkubalia pamoja na uhuni wake mimi mtu smart ambae sina tabia hizo nimepigwa chini aisee yani hapa nilipo nimechoka nimemrudishia cm yake na tayari muda huu yuko njiani kwenda kutinduliwa na muhuni. Nimeumia sana kwakweli sijui sisi nice guy huwa tunashida gani maana huyu nikama dem wa 8 namkosa kizembe kutokana na atitude zangu.
Naombeni msaada nifanyeje niachane na huu u nice guy maana sioni faida zake kwenye kutafuna mbususu zaidi ya hasara tu nikikumbuka yule dem alivyomzr et anaenda kutinduliwa na yule muhuni muda mfupi ujao nazidi kuchanganyikiwa