Uchaguzi 2020 U.S. Senate: Disturbing 'trend' of opposition party leaders in Tanzania being arrested leading up to Oct. Elections

Ni kweli wanachukua muda ila wanamvutia kasi hivyo ni swala la muda tu.
Wanaogopa wasije kupigiwa kelele na jumuia ya kimataifa, wanavuta muda.

Ndio maana wanaandika kwenye Tweeter kila ovu linalotendeka, hatujui wamepanga zifikeTweets ngapi ndio watume drone, tuendelee kuomba rehema.
 
Kuua weusi ni sera ya serikali ya marekani..
Unajua miji miwili iliyopigwa mabomu yenyw biashara za weusi?

Ijuwe marekani bro... sio ya cnn na fox
Tofautisha kati ya makosa yanayofanywa na mtu binafsi na makosa yanayofanywa kwa maelekezo ya serikali au kubarikiwa na serikali.
 
Kwa Tz waliouawa ni wangapi??
 
Hivi kulikua na umuhimu wowote wa kuwakamata Akina Zito huku Pole pole akiendelea na Mikutano Mbeya na kwingineko? Polisi watumie basi hata akili ya kawaida tu
 
Ni kweli wanachukua muda ila wanamvutia kasi hivyo ni swala la muda tu.
Lakini lazima kuwe na deliberate move ya kuwahimiza kutenda kuliko kusema. Watu waende hata huko USA wakutane nao wazungumze namna ya kushinikiza watu watende haki. Maneno matupu Jiwe hatayasikia.
 
Hivi kulikua na umuhimu wowote wa kuwakamata Akina Zito huku Pole pole akiendelea na Mikutano Mbeya na kwingineko? Polisi watumie basi hata akili ya kawaida tu
Polisi wanapokea amri, wasilaumiwe, alaumiwe Jiwe, ndiye anatoa maagizo haya . Kama siyo yeye angeliyaqkemea yakakoma. Let us not be short sighted in these simple issues!
 
Polisi wanapokea amri, wasilaumiwe, alaumiwe Jiwe, ndiye anatoa maagizo haya . Kama siyo yeye angeliyaqkemea yakakoma. Let us not be short sighted in these simple issues!
Mbona majirani zetu waanauwezo wa kugomea amri ambazo si halali? No, lazima nao wabebe sehemu ya huu ujinga na ujuha unaondelea
 
Sawa lakini mtanzania wa kawaida atanufaikaje na mpango wa kina Membe?
 
Mwambieni atulize makalio tuko bize na maendeleo ya nchi yetu

Sent from my itel W5001P using JamiiForums mobile app
 
Mnajuaga kujazana upepo[emoji16][emoji16][emoji16]

Kwani yule mama wa ubarozi wa marekani si ameondoka!!!!kwa matamkoz yake nilidhani siku anaondoka hapa nchi inaingia shimoni.
Matamko ya balozi hufanyiwa kazi na serikali yake sio yeye, mojawapo ni Bashite kupigwa ban kuingia Marekani.
 
Waachane na mambo yetu ya ndani, wapambane kuzuia mauaji ya mtu mweusi
 
Matamko ya balozi hufanyiwa kazi na serikali yake sio yeye, hiyo in pamoja na Bashite kupigwa ban kuingia Marekani.
Bashite mara ya mwisho kwenda US ni lini achana na boss wake.

Ndio kwanza anazidi kunenepa,kwanza ilitakiwa mshuru maana kodi za wananchi zingeendelea kupotea hovyo.badala ya kuona ni kama hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…