Uchaguzi 2020 U.S. Senate: Disturbing 'trend' of opposition party leaders in Tanzania being arrested leading up to Oct. Elections

Uchaguzi 2020 U.S. Senate: Disturbing 'trend' of opposition party leaders in Tanzania being arrested leading up to Oct. Elections

Unajua wangapi ambao wameuawa bila kesi?

Hii ni kwa ajili ya video kwenda viral tu....

Na hata kushtakiwa kwao kulitokana na shinikizo la maandamano...

Ama unajilazimisha upofu ama huelewi...

Wako kati ya wale wa4 wanatembea mitaani furiiiii[emoji3][emoji3]

Wajue wazungu....

Baada ya Floyd wangapi wameendelea kufa?

Waafrika zaidi ya wa4 wamenyongwa baada ya Floyd.
Pamoja na yote lkn at least sheria zinafuatwa.
 
Kuna nchi zinavihere here na nchi yetu, yule mlevi wa konyagi alivyodondoka kwenye ngazi akavunjika kisigino Ubalozi wa USA ulitoa tamko la kulaani mara ghafla uchunguzi unaonyesha hakushambuliwa

WHAT A SHAME

Sasa Zitto Kabwe na Viongozi waandamizi wamekamatwa hawajui hata sababu ya kukamatwa wameanza tena Shobo.

Sisi tuko bize na historia zilizotukuka
1. Tanzanite kilo 9.2
2. Mji uliozama baharini huko Mafia

Sent from my itel W5001P using JamiiForums mobile app
 
Polisi waliomuua Floyd wamefunguliwa mastaka ya kuua kwa kukusudia na wapo mahabusu hadi leo, huo ndio utawala wa sheria, jiulize polisi waliomuua Akwilina wako wapi leo kama sio kupandishwa vyeo.
Mkuu Quinine naona umeamua kujishusha hadhi kubishana na Form 4 failures ,buku7 wa Lumumba!
 
Bashite mara ya mwisho kwenda US ni lini achana na boss wake.

Ndio kwanza anazidi kunenepa,kwanza ilitakiwa mshuru maana kodi za wananchi zingeendelea kupotea hovyo.badala ya kuona ni kama hasara.
Hujawahi kutembea nchi za watu wewe.
 
Mbona majirani zetu waanauwezo wa kugomea amri ambazo si halali? No, lazima nao wabebe sehemu ya huu ujinga na ujuha unaondelea
Time is not yet ripe for police to denounce unlawful orders! Peoples' power is the one that will pave the way for police
 
Mkuu Mystery ,juzi nilitembelewa na rafiki zangu wawili kutoka "Ulitsa Miklukho-Maklaya", mmoja ni Mcongoman na mwingine ni Msudani.
Wamesikitika kwa yanayoendelea huko Tanzania mpaka hatua ya kuuliza ni nini kimeipata Tanzania ya Mwalimu!?
Kuna propaganda gani hapo, kwani Zitto hakukamatwa.
Kakamatwa sasa Usa wanaingia vipi? Au msaad wa mabeberu waje wamsaidie. Tweet yenyewe ya uongo .
 
Hakuna sheria inayofuatwa boss...

Unyama wa hiyo nchi hujaujuwa....

Hiyo ya Floyd ni kiki za kisiasa...
Nakuelewa, kwa Tanzania kiki za kisiasa za kina Sirro ni kutofanya uchunguzi na kuwapandisha vyeo polisi wahalifu.
 
Kabisa... inanuka kuliko waliomuua Floyd..
Imasikitisha sana
Waliomuua Acquilina wako wapi? Waliomteka Mo wako wapi waliomteka Mdude wako wapi? Na waliompoteza Ben na Azori wako wapi??

Ntakwambia Waliomuua Floyd mpak sasa wako mahabusu serikali yenyewe imewafu gulia mashtaka ya mauaji muda si mrefu wataning'inia kwenye kamba.
 
Hazina tofauti na kujisingizia kupigwa kumbe alikuwa tilalila
Nakuelewa, kwa Tanzania kiki za kisiasa za kina Sirro ni kutofanya uchunguzi na kuwapandisha vyeo polisi wahalifu.
giphy.gif
 
Baadhi yao wako mtaani tayari[emoji3][emoji3]
Waliomuua Acquilina wako wapi? Waliomteka Mo wako wapi waliomteka Mdude wako wapi? Na waliompoteza Ben na Azori wako wapi??

Ntakwambia Waliomuua Floyd mpak sasa wako mahabusu serikali yenyewe imewafu gulia mashtaka ya mauaji muda si mrefu wataning'inia kwenye kamba.
 
Kila nikimwangalia jiwe naishia kumuona akimalizia maisha gerezani na hawa wapambe mbuzi wake wakiendelea na maisha yao kwa kubadili mwelekeo kama sio wao vile.
Kwa nini aishie gerezani,huyo tunapaswa kumnyonya mate au kumpumlia kichogoni badala ya kumpeleka jela kula ugali wa bure
 
Back
Top Bottom