Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari!
Timu ya Taifa bado hali ni tete na itaendelea kuwa tete kila kuchika.
Huu U-Simba na Yanga unadumaza sana timu ya taifa isisonge mbele na kunajikuta tunarudi nyuma kila siku.
Kocha ni kama amepewa idadi ya wachezaji wa Simba/Yanga ibaki vile vile ndani ya uwanja bila kujali timu imezidi.
Kama wachezaji wa Simba/Yanga ni sita ndani ya uwanja basi watabaki hivyo hivyo hadi mwisho wa mchezo.
Kwa hali hii ya kuogopa kutoa wachezaji wa Simba/Yanga kuogopa mabwenyenye hali itaendelea kuwa hivi hivi na vipigo vitazidi zaidi na zaidi.
Natoa rahi weka pembeni U-simba na Yanga ujenge timu kama ni mchezaji wa Simba/Yanga piga chini weka mchezaji atakaye-deriver kitu bora.
Hawa wachezaji wa Simba/Yanga wanabebwa sana wa wageni ndio maana wakibaki wenyewe wanacheza makiriri tu!
Timu ya Taifa bado hali ni tete na itaendelea kuwa tete kila kuchika.
Huu U-Simba na Yanga unadumaza sana timu ya taifa isisonge mbele na kunajikuta tunarudi nyuma kila siku.
Kocha ni kama amepewa idadi ya wachezaji wa Simba/Yanga ibaki vile vile ndani ya uwanja bila kujali timu imezidi.
Kama wachezaji wa Simba/Yanga ni sita ndani ya uwanja basi watabaki hivyo hivyo hadi mwisho wa mchezo.
Kwa hali hii ya kuogopa kutoa wachezaji wa Simba/Yanga kuogopa mabwenyenye hali itaendelea kuwa hivi hivi na vipigo vitazidi zaidi na zaidi.
Natoa rahi weka pembeni U-simba na Yanga ujenge timu kama ni mchezaji wa Simba/Yanga piga chini weka mchezaji atakaye-deriver kitu bora.
Hawa wachezaji wa Simba/Yanga wanabebwa sana wa wageni ndio maana wakibaki wenyewe wanacheza makiriri tu!