Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,604
- 3,319
Kuna watu mnajua tu kulaumu yaani timu ya taifa itoke tu huko ikamfunge Tunisia nyumbani hivi hujui hiyo kufungwa moja na Tunisia away ni improvement ya hali ya juu inapaswa uwapongeze wachezaji waliocheza hiyo mechi
Tusitake mafanikio ya haraka haraka tu starz haijafika kwenye ubora wowote wa kuilaumu eti kwanini ifungwe na Tunisia
Tusitake mafanikio ya haraka haraka tu starz haijafika kwenye ubora wowote wa kuilaumu eti kwanini ifungwe na Tunisia