Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VP huna history ya kupiga mechi zetu zile peku peku?Kiuno nkikaa kwa mda mref
Ahahahaha....kwan hili tatizo lilianza lini mkuu NA lilianzaje....nipe hx kidgoNapga sana blaza utfikili nmelogwa
Hayo maumivu ya kiunoni sehemu IPI hasa? sio hapa juu kidgo ya kiuno zilipo figo? Na hayasambai kuelekea nyuma?Long time agoo lilianza na usaa
Kws sasa hiv hata ile ukiamka asubhi huoni kutoka kwa usaha japo hata kidgo TuChini ya mgongo
Kwa maelezo ysko Mkuu inawezrka UTI uliyokuwa nayo mwanzo infections ime ascend mpaka kwenye kidneys .....Na pia inawezekana una Gonorrhea.......maumivu kwenye testes(korodani) sio kitu cha mchezo mchezo take it serious inawwza ikakupelekea kwenye infertility NA Mara nyingi hiyo inakuwsga ni mojawapo ya complication ya GonoNothing
So what can I do mafriendKwa maelezo ysko Mkuu inawezrka UTI uliyokuwa nayo mwanzo infections ime ascend mpaka kwenye kidneys .....Na pia inawezekana una Gonorrhea.......maumivu kwenye testes(korodani) sio kitu cha mchezo mchezo take it serious inawwza ikakupelekea kwenye infertility NA Mara nyingi hiyo inakuwsga ni mojawapo ya complication ya Gono
Kwan ukiachilia hizo dawa ulizonitajia hapo juu ...je kuna dawa zozote ulizawahi kutumia huko nyuma? Mention them if possibleSo what can I do mafriend
Hizo za kizungu namaanishaYa kienyeji jina siikumbuki
Zaid ya hiz .ndan ya miaka hiyo miwili hukuwahi tumia nyingine zs kizungu?Dox cipro na powersef
Bas badilsha dawaNi izo izo tu