Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Aliumia pale hamisa na daimond wapo mbele nahisi zari ndio alilia kabisa maana wema alionyeshwa akameza hadi mateZile zilikua kik tu za kumkomesha Zari. Wema na Diamond kila mtu ana mishe zake japo wanakulana kimtindo ila sasa hivi wapo kibiznes zaid na Diamond ndo anamtumia Wema kama tunavyojua Wema huwa ni daraja kuvushia wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliumia pale hamisa na daimond wapo mbele nahisi zari ndio alilia kabisa maana wema alionyeshwa akameza hadi mate
Mpaka alikua anataka kulia masikini loohh!lile sinema lile wale walienda kulala pamoja Missa na MondiKuumia lazima
Akacheka na kinafiki kabisa,naona sasa kaona ajiweke kando kidogo,alidhan atarudiwa yeye mi navyomuona daimond hana hilo wazo kabisaKuumia lazima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tena mondi mbaya zaidi akamshika mkono kumsaidia kumshusha ngazi kaahh!Aliumia pale hamisa na daimond wapo mbele nahisi zari ndio alilia kabisa maana wema alionyeshwa akameza hadi mate
Esma juzi amesema mawifi zake ni kule kwa kina Petit alikoolewa. Hawa wengine wafanye biashara tuAaaaah my forever wii imeishia hewani na vitenge cjui alikopa mwenyewe, c alijua kujipendekeza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na zile interview ya kusema mwanamke aliyempenda pekee ni Wema basi akaanza mashauzi na mbwembwe yaani Wema bora akae mbali na diamond anafanya mambo yake akiwa na dai anakuwa km kavurugwa vile.Akacheka na kinafiki kabisa,naona sasa kaona ajiweke kando kidogo,alidhan atarudiwa yeye mi navyomuona daimond hana hilo wazo kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Esma kasoma mchezo ameona kaka yake kivuruge kasema oohoo ntagombana na mashoga mjini buree!! Bora nijitoe tuu!Edna juzi amesema mawifi zake ni kule kwa kina Petit alikoolewa. Hawa wengine wafanye biashara tu
Tunaisubiri 8th August30 June mbona haipostiwi tena??
Alichizika anakuwa kama mwehu,,nadhani anataka ile fame atembee nayo ya daimond si alikuwa anaona zari alivyo akija bonho inavyokuwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] na zile interview ya kusema mwanamke aliyempenda pekee ni Wema basi akaanza mashauzi na mbwembwe yaani Wema bora akae mbali na diamond anafanya mambo yake akiwa na dai anakuwa km kavurugwa vile.
Mara Wii forever, Mara African beauty kaaahh!!!
Pita kushoto, kwa mbele utaona bangoJukwaa la Hoja na habari mchanganyiko ndo hapo kwakoMhh,huku nimekosea njia
Mond anapiga kiselaAkacheka na kinafiki kabisa,naona sasa kaona ajiweke kando kidogo,alidhan atarudiwa yeye mi navyomuona daimond hana hilo wazo kabisa
Mwenziwe Zari kajitengeneza brand baada ya kua diamond,fan base kubwaa na biashara za hapa na pale!Alichizika anakuwa kama mwehu,,nadhani anataka ile fame atembee nayo ya daimond si alikuwa anaona zari alivyo akija bonho inavyokuwa
Anapasha kiporoMond anapiga kisela
It’s so sad, wenzie wana watoto wa MondMond anapiga kisela
Hawara hatongizwi. Mkionana hamu zikizidi mnavutana pembeni mnamalizanaAnapasha kiporo