Ua jekundu la Wema Sepetu limeishia wapi?

Ua jekundu la Wema Sepetu limeishia wapi?

Ashukuriwee melo na uzi wa hamorapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tu natamani hata nifanye pati ya kuwashukuru wazazi wake kwa kunipa mwanaume mzurii na mwenye akili nyingiiiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wacha weee; harmo rapa huyu huyuu!!
Jf binamu naiheshimu haswaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu acha jamani napendwa miyeeeee
Nakuja pm kwa mara nyingine binam hureeeeeeeee raha sana kupendwaa na kupendana toka nimpate g nalala usingizi mzurii sioti nakabwa wala nini jamaniii
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na zile interview ya kusema mwanamke aliyempenda pekee ni Wema basi akaanza mashauzi na mbwembwe yaani Wema bora akae mbali na diamond anafanya mambo yake akiwa na dai anakuwa km kavurugwa vile.

Mara Wii forever, Mara African beauty kaaahh!!!

Ile African beauty akajishaua kaimbiwa yeye kutwa kuji postisha, yani wema ndio maana hazai Mungu anajua , angezaa na diamond sijui angekuaje, hamisa mwenyewe hajishauag vile, wema anatia aibu , yan anajipendekeza kwa domo hatar
 
Ile African beauty akajishaua kaimbiwa yeye kutwa kuji postisha, yani wema ndio maana hazai Mungu anajua , angezaa na diamond sijui angekuaje, hamisa mwenyewe hajishauag vile, wema anatia aibu , yan anajipendekeza kwa domo hatar
Mahaba jamani mahaba we huoni Zari alivyokua anakalishwa uchi kwenye mitandao,kutwa kushikwa shikwa bimkubwa yule jamani kaaahh!!

Kumbe diamond alikua anatafuta incubator tuu!!!!
 
Udada na aliyemgundua Wema umekwisha, siku hizi anaitwa tako pembe nne.
Nimechekaaa eti pembe nne hahahhhh
Wema sijui kwa nini akili yake kama haina akili umri alionao alipashwa afahamu jua limezama atachezewaaaa tu at the end of the day atakuwa hana makazi sababu hana kazi hana watoto sababu anazijua mwenyewe hana mume au mchumba sababu anajirahisisha kwa kila ajaye. Sijui hatambui Umiss uliisha kitambo kuna wazuri waliozaliwa baada yake wengi tuuuuu ameshakuwa mtu mzima sijui kwa nini hatambui hilo.
 
Nimechekaaa eti pembe nne hahahhhh
Wema sijui kwa nini akili yake kama haina akili umri alionao alipashwa afahamu jua limezama atachezewaaaa tu at the end of the day atakuwa hana makazi sababu hana kazi hana watoto sababu anazijua mwenyewe hana mume au mchumba sababu anajirahisisha kwa kila ajaye. Sijui hatambui Umiss uliisha kitambo kuna wazuri waliozaliwa baada yake wengi tuuuuu ameshakuwa mtu mzima sijui kwa nini hatambui hilo.
Alimtibua dada yake wa hiari kwa kuwaasa watu vwasiandamane
 
[emoji23][emoji23][emoji23] forever wii kahamia kwa wii walioshea bwana afu akazaa na domo
IMG_20180512_204450.jpg
 
Back
Top Bottom