[emoji23] [emoji23] [emoji23] wacha weee; harmo rapa huyu huyuu!!Ashukuriwee melo na uzi wa hamorapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tu natamani hata nifanye pati ya kuwashukuru wazazi wake kwa kunipa mwanaume mzurii na mwenye akili nyingiiiii
Binam nawe imekupa niniii tubadilishane maujuzi basi[emoji23] [emoji23] [emoji23] wacha weee; harmo rapa huyu huyuu!!
Jf binamu naiheshimu haswaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu acha jamani napendwa miyeeeeeBinam nawe imekupa niniii tubadilishane maujuzi basi
Nakuja pm kwa mara nyingine binam hureeeeeeeee raha sana kupendwaa na kupendana toka nimpate g nalala usingizi mzurii sioti nakabwa wala nini jamaniii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu acha jamani napendwa miyeeeee
Yule akili zake anazijua mwenyewe[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]kiranga komo
Binam njopnkule umewasha moto usiukimbieeeYani ilimchoma kabisa, zari atakua kashapoa sasa hivi, maumivu huwa hayadumu, Ila zari Ana dharau sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na zile interview ya kusema mwanamke aliyempenda pekee ni Wema basi akaanza mashauzi na mbwembwe yaani Wema bora akae mbali na diamond anafanya mambo yake akiwa na dai anakuwa km kavurugwa vile.
Mara Wii forever, Mara African beauty kaaahh!!!
Mahaba jamani mahaba we huoni Zari alivyokua anakalishwa uchi kwenye mitandao,kutwa kushikwa shikwa bimkubwa yule jamani kaaahh!!Ile African beauty akajishaua kaimbiwa yeye kutwa kuji postisha, yani wema ndio maana hazai Mungu anajua , angezaa na diamond sijui angekuaje, hamisa mwenyewe hajishauag vile, wema anatia aibu , yan anajipendekeza kwa domo hatar
Nimechekaaa eti pembe nne hahahhhhUdada na aliyemgundua Wema umekwisha, siku hizi anaitwa tako pembe nne.
Alimtibua dada yake wa hiari kwa kuwaasa watu vwasiandamaneNimechekaaa eti pembe nne hahahhhh
Wema sijui kwa nini akili yake kama haina akili umri alionao alipashwa afahamu jua limezama atachezewaaaa tu at the end of the day atakuwa hana makazi sababu hana kazi hana watoto sababu anazijua mwenyewe hana mume au mchumba sababu anajirahisisha kwa kila ajaye. Sijui hatambui Umiss uliisha kitambo kuna wazuri waliozaliwa baada yake wengi tuuuuu ameshakuwa mtu mzima sijui kwa nini hatambui hilo.
Hahaha eti ni Dada huwa hakui, nimeanza kumisikia tangu nipo form three hadi sasa mie Nina kwangu na familia yangu na watoto kbs ila mwenzetu hakui tu.Tatizo si yeye ni mayai yake na kule kuamini bado yeye mdogo
Hv ile ya Idris ilikuwa mimba kweli au mbwembwe tu?Ya idriss si ilitoka tu yenyewe au aliitoa,maana zile alizitoa,nimekumbuka hakubeba ya charles baba kwelii
Ila hamisa ana roho ya chuma, kwa roho ile kama ana mission zake lazma zifanikiweAliumia pale hamisa na daimond wapo mbele nahisi zari ndio alilia kabisa maana wema alionyeshwa akameza hadi mate
Mwanamke unatakiwa uwe na roho ngumu ndioIla hamisa ana roho ya chuma, kwa roho ile kama ana mission zake lazma zifanikiwe
mi umaskini ndo unanilainisha 😀Mwanamke unatakiwa uwe na roho ngumu ndio