Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UMEANDIKA KI LAYMAN SANA. VILAZA HUWA MNADHANI SIASA NI VITA NDO MNAKUWA NA AKILI ZA KIUAJI. NCHI ZA WASTAARABU WANASIASA WANABISHANA KWA HOJA. BUT HAWAWI MAADUI. NENDA KENYA TU HAPO
Hakuna kitu hapo ni ujinga tu unaoweza kuaminiwa na watu wajinga na wapumbavu.Mnaosifia huu upumbavu tuleteeni listi ya Wana CCM waliotekwa hapa tutawaelewa vzr sana.Hili liwe funzo zuri Kwa Wanasiasa wadogo Wadogo akina Yeriko, Maranja, Mdude, Choice variable nk
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema Mbowe alimpigia Simu mara 5 Ili kumjulisha habari za mauwaji ya Shujaa Ally Mohamed Kibao lakini yeye Nchimbi hakupokea kwani alishapata taarifa na alikuwa amevurugwa kweli kweli
Dr Nchimbi amesema alimjibu Mh Mbowe Kwa meseji na wakawa wameelewana.
Huu ndio Ukomavu wa kisiasa siyo kila jambo ni Siasa uchwara na kutukanana tu.
Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe
Mungu wa mbinguni awabariki sana Dr Nchimbi na Freeman Mbowe
Ahsanteni sana 🌹
Tatizo la JF wote mnaruhusiwa kujiunga. Hadi nyie wa Riverside siku hizi mnashinda humu. Zamani ilikuwa JF ina watu wenye akili. But now. Hadi nyie mpo 😁Rabishwi
Wewe sio GT
Mungu ni mkubwa kutupa Nchimbi,Siasa za Dr Emma naona zipo advanced zaidi.. yeye ni mtu anae amin kwenye
Upendo
Mshikamono
Mazungumzo
Siasa za maji taka kwake kama hazina nafasi
Kama Mbowe alitaka kumuuwa, mbona angemalizana nae kirahisi tu,Kwa sisi watalaam tumemuelewa Nchimbi kakataa Mbowe kuhusika ili Polisi wakimbana mbowe na tuhuma hizo ionekane Ccm haina mkono wake.
Hiyo chadema hawawezi kujua ila siku siyo nyingi kuna viongozi wa chadema watakamatwa kwa tuhuma hizo
Get to know Nchimbi first ndio useme haya, hizi ndio siasa zake, ambazo very unfortunate hazipendwi na CCM wengi, kuwa mwana diplomasia sana ni kutaka CCM ishindwe vibaya sababu imechokwa. WanaCCM wanamhitaji kiongozi ambaye atawasaidia kushinda kimfumo, bila kujali ameburuza wapinzani wake kiasi gani, mtu ambaye atawasaidia kutamba kwa mabavu, na kusema ile kauli ya “vijana jeuri ya chama” mtu ambaye atawafanya wazurure na sare zao bila kuzomewa (Jakaya vs Magufuli)Kwa sisi watalaam tumemuelewa Nchimbi kakataa Mbowe kuhusika ili Polisi wakimbana mbowe na tuhuma hizo ionekane Ccm haina mkono wake.
Hiyo chadema hawawezi kujua ila siku siyo nyingi kuna viongozi wa chadema watakamatwa kwa tuhuma hizo
Kwahio tunaweza kuwapanga watuhumiwa ili awatazame usoni ? Naona huyu jamaa ana talent ambayo anaipoteza kwenye siasa, angesaidia sana kwenye tasnia ya uchunguzi....Nchimbi amesema Wakati anaongea na Mbowe kuhusu huu msiba wa Ally Mohamed Kibao alimtazama Kwa makini Freeman Mbowe usoni na kujiridhisha hakufanya unyama huo
Macho Yana lensi ambayo hurekodi Vitu mbalimbaliKwahio tunaweza kuwapanga watuhumiwa ili awatazame usoni ? Naona huyu jamaa ana talent ambayo anaipoteza kwenye siasa, angesaidia sana kwenye tasnia ya uchunguzi....
Hii nchi ina mambo ya ajabu ajabu sana....
Aisee karne ya 21 bado tunaamini hizi futuhi ?!!!!Macho Yana lensi ambayo hurekodi Vitu mbalimbali
Nadhani Ndio sababu Shujaa Ally Mohamed Kibao alitobolewa macho kupoteza ushahidi 🐼
HayaAisee karne ya 21 bado tunaamini hizi futuhi ?!!!!
Optography is the process of viewing or retrieving an optogram, an image on the retina of the eye. A belief that the eye "recorded" the last image seen before death was widespread in the late 19th and early 20th centuries, and was a frequent plot device in fiction of the time, to the extent that police photographed the victims' eyes in several real-life murder investigations, in case the theory was true. The concept has been repeatedly debunked as a forensic method.
![]()
Optography - Wikipedia
en.wikipedia.org
Kwakwel hii kauli imekaa kinyume nyume sanaa, ukizingatia bwana Ima ni eagle house manKatibu mkuu wa CCM kumtetea mwenyekiti na katibu mkuu wa CHADEMA ni jambo la kutafakari sana. Nchimbi anaupiga mwingi.
Unatumia nguvu kubwa sana....Kwahio tunaweza kuwapanga watuhumiwa ili awatazame usoni ? Naona huyu jamaa ana talent ambayo anaipoteza kwenye siasa, angesaidia sana kwenye tasnia ya uchunguzi....
Hii nchi ina mambo ya ajabu ajabu sana....