TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Baada ya miongo kadhaa umoja wa nchi za kiarabu ujulikanao kama UAE umerusha rocket ya kwenda kufanya uchunguzi anga za mbali.
Chombo hicho kinafahamika kwa jina la JAXA (Hope probe) kimeondoia kutokea eneo la Tanegashima huko nchini japani, angalia kwenye picha hapa chini pembeni kwa taarifa zq mwendo kwa saa.
Video kamili inapatikana hapa 👇...
NYONGEZA.
Safari ya UAE kwa nafasi ilianzishwa na mwanzilishi wa UAE Sheikh Z Zared mnamo miaka ya 1970 alifanya angalau mikutano mitatu juu ya project hii ikiwa ni pamoja na kufanya mkutano wa mwingine unaokumbukwa huko Abu Dhabi mnamo Februari 1976.
Akiwa na wanaanga watatu wa kimarekani zaidi ya miaka 40 baadaye umoja wa nchi za falme za kiarabu iliona yafaa kama ingemtuma mtaalam wake wa kwanza kwenye anga za mbali Sep 11, 2019 lakini haikufanikiwa.
Chombo hicho kinafahamika kwa jina la JAXA (Hope probe) kimeondoia kutokea eneo la Tanegashima huko nchini japani, angalia kwenye picha hapa chini pembeni kwa taarifa zq mwendo kwa saa.
Video kamili inapatikana hapa 👇...
NYONGEZA.
Safari ya UAE kwa nafasi ilianzishwa na mwanzilishi wa UAE Sheikh Z Zared mnamo miaka ya 1970 alifanya angalau mikutano mitatu juu ya project hii ikiwa ni pamoja na kufanya mkutano wa mwingine unaokumbukwa huko Abu Dhabi mnamo Februari 1976.
Akiwa na wanaanga watatu wa kimarekani zaidi ya miaka 40 baadaye umoja wa nchi za falme za kiarabu iliona yafaa kama ingemtuma mtaalam wake wa kwanza kwenye anga za mbali Sep 11, 2019 lakini haikufanikiwa.