UAE hatimaye wapeleka chombo anga za mbali, wanamaanisha nini kwa mabeberu?

UAE hatimaye wapeleka chombo anga za mbali, wanamaanisha nini kwa mabeberu?

Bora aisee nao waje kutueleza sio kila siku kusikia reports za upande wa magaribi hatujui kama ni kweli au wanatudanganya yaliyopo huko baharini za mbali. Maana wengine wanasema wamarekani hawajakanyaga mwezini, ile mission ya kina Armstrong ni fake, mara wengine waseme the earth is flat huku tukijifunza is a spherical like structure bhas tupotupo tu😂😂

wanasayansi waligundua nje ya dunia kuna ukanda wenye miale inayotoka kwenye jua na milipuko ya nyota Ina Joto kali sana na sumu nyingi kiumbe hai hawezi kupenya akapona. Mpaka leo wanasayansa wanaumiza kichwa namna ya kupita hapo na ili uende kwenye mwezi au sayari nyingine lazima Safari ipitie hapo.
Dunia Ina leya Inaitwa ozone inazuia makali ya miale ya jua na vile vile kuna nguvu za sumaku ya dunia zinazuia hio miale yenye sumu na joto Kali kufika duniani.
 
Tumia simu yako vizuri utayapata tu majibu,usilete mchezo wa darasa la 2 wa hide n seek.

sidhani kama unafahamu na umeelewa concern yangu ya kwanza na hii ya pili..

ilikuwa rahisi saaana kunijibu kwako wewe unayejua kwa kuniambia Nchi A imerusha chombo chake kupitia nchi B kwa sababi hizi na hizi.
UAE imerusha chombo chake kupitia Japana kwa sababu hizi na zile baadala yake unatumia nguvu nyingi kupambana na vitu rahisi..

Kuna comment hapo juu imeeleza UAE alianza kujifunzia NASA na baadaye akampa Mjepu kazi ya kutengeneza na kurusha kwa nembo ya UAE..mbona iko wazi tu..

Hili ni jukwaa huru linalohitaji mawazo huru bila kuongozwa na hisia pale unaposoma comment ya mwenzio,comment yako ya kwanza imeonyesha unatatizo fulani la hofu kila jamii fulani inapotajwa..kuwa huru chief kwa kujadili uhalisia na sio chuki..
 
UAE waliwekeza kwenye elimu na teknolojia.
Taasisi yao ya sayansi ya anga na vyuo vikuu vyao wameajiri wataalamu kutoka UK , Australia na USA kama ilivyo shirika lao la ndege na Sekta nyingine.
matokeo ndiyo hayo yameonekana , roketi iliyorusha chombo ni ya Japan na chombo kimetengenezwa UAE.
 
mkuu mbona kama wewe ndio umeumizwa na mchango wa jamaa[emoji16][emoji16].

ilikuwa simple tu ueleze kwanini hili limetokea,na si kama anavyofikiri,vinginevyo haina maana kumbishia.

Chief humu tuko watu wengi wenye uelewa tofauti, bado namimi najaribu kumuelewa jamaa concept yake ni nini hasa wakati swali ni rahisi toka comment yangu ya kwanza.

Hili ni jukwaa huru linalohitaji mijadala na hoja nasio chuki na hisia, lengo ni kuelimishana na kujenga uelewa....Ngoja tuone labda jamaa atakuja kutuelewesha maana ameshaniambia niende google..
 
isajorsergio mdau wa mambo haya ya teknohama mchango wako unaonaje kuhusu hawa jamaa zetu.?

Zaidi ya miaka 40 UAE jana wamefanikiwa kutuma chombo anga za mbali.
UAE wamefanya mapinduzi ya mambo katika dunia kwa muda mfupi sana, kitendo cha kutuma satelaiti haijalishi wametumia kitengo cha mwingine ni suala la uthubutu na litasaidia katika usaidizi wa kidunia.

Mataifa yaliyobaki yanaweza pia hata kwa kutumia ushirika.
 
nitajie chombo gani cha USA kimerukia nchi nyingine tofauti na USA.
Nitajie chombo gani cha Urusi kimerukia nchi nyingine tofauti na Urusi.
Nitajie chombo gani cha China kimerukia nchi nyingine tofauti na China.
Nitajie chombo gani cha Japan kimerukia nchi nyingine tofauti na japani.
Nitajie chombo gani cha North Korea kimerukia nchi nyingine tofauti na North korea.
Nitajie chombo gani cha India kimerukia nchi nyingine tofauti na India.
Nitajie chombo gani cha france kimerukia nchi nyingine tofauti na france.
Nitajie chombo gani cha UK kimerukia nchi nyingine tofauti na UK.
Nitajie chombo gani cha Germany kimerukia nchi nyingine tofauti na Germany..

Ni vyema tukajadili kama watu wenye uelewa..
Umesahau israel
 
Screenshot_20200720-094500.png
 
sidhani kama unafahamu na umeelewa concern yangu ya kwanza na hii ya pili..

ilikuwa rahisi saaana kunijibu kwako wewe unayejua kwa kuniambia Nchi A imerusha chombo chake kupitia nchi B kwa sababi hizi na hizi.
UAE imerusha chombo chake kupitia Japana kwa sababu hizi na zile baadala yake unatumia nguvu nyingi kupambana na vitu rahisi..

Kuna comment hapo juu imeeleza UAE alianza kujifunzia NASA na baadaye akampa Mjepu kazi ya kutengeneza na kurusha kwa nembo ya UAE..mbona iko wazi tu..

Hili ni jukwaa huru linalohitaji mawazo huru bila kuongozwa na hisia pale unaposoma comment ya mwenzio,comment yako ya kwanza imeonyesha unatatizo fulani la hofu kila jamii fulani inapotajwa..kuwa huru chief kwa kujadili uhalisia na sio chuki..
Naona umekua mtunzi mzuri wa hadithi za Abunuasi,narudia tena,chuki zako kwa jamii fulani haitobadili uhalisia wa maisha yako,vyombo vya anga kuchagua location ya kutakeoff ni jambo linalojulikana,hata location yakuland huchakuliwa kwa sababu maalum ikiwemo weather condition na umbali.
 
Waliotuma chombo ni Japan UAE wao wametoa pesa ,mjadala umefungwa.,
Japan ni launch center lakini haimaanishi wao ndo wameirusha!

Of course lazima watakuwa wameshirikiana na wengine, hususani nchi ambazo ni experienced na haya mambo jambo ambalo ni kawaida sana!

Lakini role kubwa ya Japan, mosi pale ndo kuna kampuni ya Mitsubishi inayotengeneza maroketi ya kurushia hivi vifaa, na kuwepo kwa hiyo kampuni Japan, inafanya Japan yenyewe kuwa ni launch center vile vile. Hata NASA wakati mwingine huwa wanatumia launch center ya Japan!

All in linapokuja suala la Sayansi na Tech, Waarabu sio wenzetu Afrika! UAE, Saudi Arabia na Qatar wame-invest sana kwenye hili eneo, na si ajabu in the next 25 years, dependence yao kwa Wazungu itapungua sana huku Waafrika viongozi wakihamishia keki ya taifa kwao na marafiki zao!!
 
Naona umekua mtunzi mzuri wa hadithi za Abunuasi,narudia tena,chuki zako kwa jamii fulani haitobadili uhalisia wa maisha yako,vyombo vya anga kuchagua location ya kutakeoff ni jambo linalojulikana,hata location yakuland huchakuliwa kwa sababu maalum ikiwemo weather condition na umbali.

Bado hujibu hoja unazungukazunguka tu..

tutajie chombo A cha nchi fulani kilirukia nchi B kwa sababu a,b,c,d... Binafsi naamini UAE amerushia Japan kwasababu bado hana teknolojia na hana bado hizo facility.. kama sababu ni hali ya hewa ndio utueleze chief...

Hapo juu kuna mtu kakuwekea ushahidi wa Chombo cha India kilichotengenezwa Israeli na kurushiwa India... Pambana hoja iliyopo mezani chief..
 
Hao waarabu wametoa tu Pesa hapo sio kwamba wao ndio designer wa icho chombo ata control center za ground wamejengewa
 
Bado hujibu hoja unazungukazunguka tu..

tutajie chombo A cha nchi fulani kilirukia nchi B kwa sababu a,b,c,d... Binafsi naamini UAE amerushia Japan kwasababu bado hana teknolojia na hana bado hizo facility.. kama sababu ni hali ya hewa ndio utueleze chief...

Hapo juu kuna mtu kakuwekea ushahidi wa Chombo cha India kilichotengenezwa Israeli na kurushiwa India... Pambana hoja iliyopo mezani chief..
Hiyo post ya chombo cha Israel kurukia India umewekewa wewe coz umegeuka kituko hapa kubisha vitu ambavyo vipo wazi kabisa,Watu kama wewe hua hata mkipewa majibu hamkubali coz mnaendeshwa na chuki zakijinga,angalia usijepata vidonda vya tumbo bure.
 
Bado hujibu hoja unazungukazunguka tu..

tutajie chombo A cha nchi fulani kilirukia nchi B kwa sababu a,b,c,d... Binafsi naamini UAE amerushia Japan kwasababu bado hana teknolojia na hana bado hizo facility.. kama sababu ni hali ya hewa ndio utueleze chief...

Hapo juu kuna mtu kakuwekea ushahidi wa Chombo cha India kilichotengenezwa Israeli na kurushiwa India... Pambana hoja iliyopo mezani chief..
MKUU

Hapa kuna mambo mawili kuna uhalisia nakuna mapenzi

Uhalisia mataifa kibao yanarusha satelite katika mataifa mengine kiukweli sikufatilia sababu yawao kufanya hivyo
Ila wapo US JAPAN UCHINA ISRAEL FRANCE UK wote washafanya nje yakwao((HUU UHALISIA)


Mapenzi binafsi yangu napenda taifa fulani linapoamua kufanya jambo kama hilo lifanyie kwao kwanza kwamara yakwanza kuidhihirishia dunia kama nawao eeeeh kama wanavyofanya IRAN (MAPENZI)

Ila kuhusiana na kurusha object into space sio ngeni kwataifa moja kufanzia nje yataifa lake nimambo yakawaida sana ambayo sikuyafatilia sababu zakw lakini mimi kama mimi ila sio kwamba wao hua hawawezi hapana wanaweza sababu unakuta nyuma walishawahi kurusha wao wenyewe ndani yamipaka yao kwamfano kama sasa US akiamua kurusha object into space akiwa KENYA utasema hana uwezo ?!


Nipo tayari kurekebishwa pia UAE wamejitahidi japo binafsi yangu natamani hatua ijayo waifanyie hio object irukie ndani yamipaka yataifa lao....
 
MKUU

Hapa kuna mambo mawili kuna uhalisia nakuna mapenzi

Uhalisia mataifa kibao yanarusha satelite katika mataifa mengine kiukweli sikufatilia sababu yawao kufanya hivyo
Ila wapo US JAPAN UCHINA ISRAEL FRANCE UK wote washafanya nje yakwao((HUU UHALISIA)


Mapenzi binafsi yangu napenda taifa fulani linapoamua kufanya jambo kama hilo lifanyie kwao kwanza kwamara yakwanza kuidhihirishia dunia kama nawao eeeeh kama wanavyofanya IRAN (MAPENZI)

Ila kuhusiana na kurusha object into space sio ngeni kwataifa moja kufanzia nje yataifa lake nimambo yakawaida sana ambayo sikuyafatilia sababu zakw lakini mimi kama mimi ila sio kwamba wao hua hawawezi hapana wanaweza sababu unakuta nyuma walishawahi kurusha wao wenyewe ndani yamipaka yao kwamfano kama sasa US akiamua kurusha object into space akiwa KENYA utasema hana uwezo ?!


Nipo tayari kurekebishwa pia UAE wamejitahidi japo binafsi yangu natamani hatua ijayo waifanyie hio object irukie ndani yamipaka yataifa lao....
Mkuu,unapoteza muda wako bure,huyo kishajikoki kubishana kwa kitu asichokijua,wahivyo hua hawapo tayari kufahamishwa nakuelewa.
 
Bora aisee nao waje kutueleza sio kila siku kusikia reports za upande wa magaribi hatujui kama ni kweli au wanatudanganya yaliyopo huko baharini za mbali. Maana wengine wanasema wamarekani hawajakanyaga mwezini, ile mission ya kina Armstrong ni fake, mara wengine waseme the earth is flat huku tukijifunza is a spherical like structure bhas tupotupo tu[emoji23][emoji23]
Wakisema weupe tunafuata tu. Sisi ni nani wa kupinga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MKUU

Hapa kuna mambo mawili kuna uhalisia nakuna mapenzi

Uhalisia mataifa kibao yanarusha satelite katika mataifa mengine kiukweli sikufatilia sababu yawao kufanya hivyo
Ila wapo US JAPAN UCHINA ISRAEL FRANCE UK wote washafanya nje yakwao((HUU UHALISIA)


Mapenzi binafsi yangu napenda taifa fulani linapoamua kufanya jambo kama hilo lifanyie kwao kwanza kwamara yakwanza kuidhihirishia dunia kama nawao eeeeh kama wanavyofanya IRAN (MAPENZI)

Ila kuhusiana na kurusha object into space sio ngeni kwataifa moja kufanzia nje yataifa lake nimambo yakawaida sana ambayo sikuyafatilia sababu zakw lakini mimi kama mimi ila sio kwamba wao hua hawawezi hapana wanaweza sababu unakuta nyuma walishawahi kurusha wao wenyewe ndani yamipaka yao kwamfano kama sasa US akiamua kurusha object into space akiwa KENYA utasema hana uwezo ?!


Nipo tayari kurekebishwa pia UAE wamejitahidi japo binafsi yangu natamani hatua ijayo waifanyie hio object irukie ndani yamipaka yataifa lao....

Nashukuru mkuu kwa kujadili kwa hoja, hoja ndio jambo zuri ili kila mtu aelimike..

Vipo vyombo vya aina mbalimbali kwa kazi mbalimbali, mataifa makubwa kama USA na Russia huwa wanamiliki satelite zao kwa matumizi ya kijeshi na usalama hapa hauwezi kutumia uwanja wa mtu mwingine kurusha chombo chako.

Vipo vyombo kwa ajili ya uchunguzi wa mambo nyeti kama sayari fulani fulani au jua kwa manufaa ya Taifa husika hapa pia itabidi urushie kwako kulinda teknolojia yako na ugunduzi wako.

Vipo vyombo kwa ajili ya mawasiliano ya kawaida na taarifa za kawaida kama hali ya hewa nk...hivi sio issue sana na kila mtu anaweza kufanya na wala haihitaji usiri wowote wala teknolojia kubwa mnawesa kushare information na hata kukubaliana kurushia sehemu fulani..

Vipo vyombo kwa ajili ya wanafunzi kujifunzia either huko juu au wanafunzi wa kutengeneza chombo chenyewe, hivi navyo sio issue na havina usiri wowote na havihitaji complicated technology, mfano wanafunzi wa Israeli walitengeza chombo na kurushia India..
 
Hiyo post ya chombo cha Israel kurukia India umewekewa wewe coz umegeuka kituko hapa kubisha vitu ambavyo vipo wazi kabisa,Watu kama wewe hua hata mkipewa majibu hamkubali coz mnaendeshwa na chuki zakijinga,angalia usijepata vidonda vya tumbo bure.

soma ujielimishe mkuu usichukue vitu juu juu.
unawaambia wenzio waende google wakasome halafu unawekewa kitu unachukua kizimakizima bila kukisoma in details...pole sana chief kwa kuwaza kila mtu ana chuki...comment yangu ya kwanza hujaielewa bado..
 
Nashukuru mkuu kwa kujadili kwa hoja, hoja ndio jambo zuri ili kila mtu aelimike..

Vipo vyombo vya aina mbalimbali kwa kazi mbalimbali, mataifa makubwa kama USA na Russia huwa wanamiliki satelite zao kwa matumizi ya kijeshi na usalama hapa hauwezi kutumia uwanja wa mtu mwingine kurusha chombo chako.

Vipo vyombo kwa ajili ya uchunguzi wa mambo nyeti kama sayari fulani fulani au jua kwa manufaa ya Taifa husika hapa pia itabidi urushie kwako kulinda teknolojia yako na ugunduzi wako.

Vipo vyombo kwa ajili ya mawasiliano ya kawaida na taarifa za kawaida kama hali ya hewa nk...hivi sio issue sana na kila mtu anaweza kufanya na wala haihitaji usiri wowote wala teknolojia kubwa mnawesa kushare information na hata kukubaliana kurushia sehemu fulani..

Vipo vyombo kwa ajili ya wanafunzi kujifunzia either huko juu au wanafunzi wa kutengeneza chombo chenyewe, hivi navyo sio issue na havina usiri wowote na havihitaji complicated technology, mfano wanafunzi wa Israeli walitengeza chombo na kurushia India..
Yah hapa ishu ilikua nikuonesha kwamba objects zinarushwa pia katika mataifa tofauti haijalishi yanamna gani

Uhusiano uliopo wakijeshi nakiusalama wa US na ISRAEL wanaweza rusha object yeyote kwenda huko juu refer tu kwasuala la f35 ISRAEL pekee ndio walipewa haki kama US wenyewe kwa ile ndege

Kuna mambo kweli hawawez kushare ila pia kushate mambo mengi yanawezekana.....
 
Back
Top Bottom