The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Naona umeamua tu kuhamisha magoli wakati mechi imeshakwisha! issue ni chombo cha anga kurukia nchi nyingine,na najua hilo umeenda google na kupata majibu,unachokifanya kwasasa ni kutafuta njia ya kutokea tu,siku nyingine punguza kuendeshwa na mihemko.soma ujielimishe mkuu usichukue vitu juu juu.
unawaambia wenzio waende google wakasome halafu unawekewa kitu unachukua kizimakizima bila kukisoma in details...pole sana chief kwa kuwaza kila mtu ana chuki...comment yangu ya kwanza hujaielewa bado..