Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ukisema Wanyarwanda kwa ujumla shida iko wapi? Unajaribu kusema nini kuhusu Wahutu? Si ni fikra za kipumbavu kama hizi zako ndio zilipelekea mauaji?hapo wamebaguliwa au wamesifiwa?
Si nimesema 'hasa'? Na hata ningesema otherwise, kwani kabila moja wakiwa na akili nyingi automatically inamaanisha wengine ni wajinga? Mfano nikisema kuwa wanyarwanda hasa watutsi ni warefu kutakuwa na shida? Halafu Rwanda ina kabila nyingine kama wa-twa, sio kila kitu ni ligi kati ya watutsi na wahutu!Kwani ukisema Wanyarwanda kwa ujumla shida iko wapi? Unajaribu kusema nini kuhusu Wahutu? Si ni fikra za kipumbavu kama hizi zako ndio zilipelekea mauaji?
Sasa huo ni ubaguzi (racism) au assertions (unverified as they are)? Hapo wanyarwanda wamebaguliwa au wamesifiwa ? karibu.
Kwanza alivyoandika (hasa watutsi).
Ubaguzi wa kikatili sana ukitegemea genocide iliyotokea hapo Rwanda kwa sababu ya ukabila.
Nimejumuisha wote kwanza kama wanyarwanda halafu nikasema 'hasa watutsi'. Kwa hiyo nimesifia wanyarwanda wote kwa ujumla.bro nikisema ubaguzi, simaanishi ubaguzi wa rangi pekee. Kuna ubaguzi wa aina nyingi sana. (hilo sina muda wa kukuelimisha kwa sasa). Lakini kwa uzi wako sentensi yako ya kwanza, Hapo umefanya intelligence discrimination. Huwezi ukajumuisha tu eti, sijui watu gani ni bora kiakili kuliko wengine wote Afrika. Huo ni ujuha na ujinga ambao Mwl. JK Nyerere alisema hufanywa na watu waliofirisika kichwani. Unataka kuoneka una akili kwa kujificha au kwa kivuli cha ethnic group fulani. Na ndiyo maana nasema lete ushahidi wa kuthibitisha hilo.
1. Wanawake wana akili kuzidi wanaume = ubaguzi wa kijinsia.Anasema wana IQ > average wakati hajui hata maana ya ubaguzi. Yeye akiona neno ubaguzi anajua ni wa rangi pekee. Hajui kuna wa kikabila, kijinsia, kiuchumi, kikanda, kimkoa orodhs ni ndefu.
Nimejumuisha wote kwanza kama wanyarwanda halafu nikasema 'hasa watutsi'. Kwa hiyo nimesifia wanyarwanda wote kwa ujumla.
Nilitegemea labda unidai takwimu za Wanyarwanda kuwa na akili kubwa kuzidi waafrika wengine. Ila kwa kuwa hunidai hizo inaonyesha unakubali kuwa wanyarwanda wana akili kubwa ila una wasiwasi na watutsi? au nimeelewa vibaya?
Ishi kwa akili yako.Hawajui wanyarwanda ni wayahudi weusi
Boss! Ukabila ni ukabila tu. Sadly umetumia mfano wako kwenye nchi ambayo bado inauguza majeraha ya ukabila.Si nimesema 'hasa'? Na hata ningesema otherwise, kwani kabila moja wakiwa na akili nyingi automatically inamaanisha wengine ni wajinga? Mfano nikisema kuwa wanyarwanda hasa watutsi ni warefu kutakuwa na shida? Halafu Rwanda ina kabila nyingine kama wa-twa, sio kila kitu ni ligi kati ya watutsi na wahutu!
Usitudanganye wewe,kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.Hivi hawa waarabu hawajui kuwa wanyarwanda (hasa watutsi) ni watu wenye akili kubwa kuliko wote huku Africa? Hawajui wanyarwanda ni wayahudi weusi waliopotea njia kutokea Israeli? Sasa inakuwaje wanabania VISA wanyarwanda halafu manchi ya ajabu ajabu kama Tanzania yanapeta? Yaani Super Power Rwanda ni ya kufananishwa na Burundi na Togo?
Hawajui Rwanda chini ya genius Paul Kagame ni namba moja kwa teknolojia Africa nzima? Hawajui huku Rwanda hakuna mgao wa umeme wala maji? Intaneti ni bure, barabara zetu zote lami! Hawajui Rwanda usalama ni kama huko Dubai tu watu wanalala milango wazi? Hawajui kuwa Rwanda ina viwanda vya magari na smartphone na hivyo ajira huku zipo nje nje? Hawajui kuwa Rwanda inakaribia kurusha satellite yake yenyewe?
Yaani kweli wanadai kuwa watutsi wanakwenda UAE kudangadanga mpaka wanaoverstay na kugeuka wahamiaji haramu? Yaani wanamaanisha kuwa Rwanda ni nchi ya njaa kama Sudan? Haya maendeleo yote hawayaoni au wanawaoneawivu?
Nisaidieni jamani maswali ni mengi.
Fuatilia historia Egypt imevumbua vitu vingi km calendar na baadhi ya mambo ktk muktadha wa hisabati na matibabu,Swali,RWANDA imevumbua nini??Hivi hawa waarabu hawajui kuwa wanyarwanda (hasa watutsi) ni watu wenye akili kubwa kuliko wote huku Africa? Hawajui wanyarwanda ni wayahudi weusi waliopotea njia kutokea Israeli? Sasa inakuwaje wanabania VISA wanyarwanda halafu manchi ya ajabu ajabu kama Tanzania yanapeta? Yaani Super Power Rwanda ni ya kufananishwa na Burundi na Togo?
Hawajui Rwanda chini ya genius Paul Kagame ni namba moja kwa teknolojia Africa nzima? Hawajui huku Rwanda hakuna mgao wa umeme wala maji? Intaneti ni bure, barabara zetu zote lami! Hawajui Rwanda usalama ni kama huko Dubai tu watu wanalala milango wazi? Hawajui kuwa Rwanda ina viwanda vya magari na smartphone na hivyo ajira huku zipo nje nje? Hawajui kuwa Rwanda inakaribia kurusha satellite yake yenyewe?
Yaani kweli wanadai kuwa watutsi wanakwenda UAE kudangadanga mpaka wanaoverstay na kugeuka wahamiaji haramu? Yaani wanamaanisha kuwa Rwanda ni nchi ya njaa kama Sudan? Haya maendeleo yote hawayaoni au wanawaoneawivu?
Nisaidieni jamani maswali ni mengi.
karne hii mtu bado anaamini katika ukabila,, tena anaamini ni muisrael😀😀😂Upumbafu huu genocide nchi hautakaa mbali!!.. its abt when!Hivi hawa waarabu hawajui kuwa wanyarwanda (hasa watutsi) ni watu wenye akili kubwa kuliko wote huku Africa? Hawajui wanyarwanda ni wayahudi weusi waliopotea njia kutokea Israeli? Sasa inakuwaje wanabania VISA wanyarwanda halafu manchi ya ajabu ajabu kama Tanzania yanapeta? Yaani Super Power Rwanda ni ya kufananishwa na Burundi na Togo?
Hawajui Rwanda chini ya genius Paul Kagame ni namba moja kwa teknolojia Africa nzima? Hawajui huku Rwanda hakuna mgao wa umeme wala maji? Intaneti ni bure, barabara zetu zote lami! Hawajui Rwanda usalama ni kama huko Dubai tu watu wanalala milango wazi? Hawajui kuwa Rwanda ina viwanda vya magari na smartphone na hivyo ajira huku zipo nje nje? Hawajui kuwa Rwanda inakaribia kurusha satellite yake yenyewe?
Yaani kweli wanadai kuwa watutsi wanakwenda UAE kudangadanga mpaka wanaoverstay na kugeuka wahamiaji haramu? Yaani wanamaanisha kuwa Rwanda ni nchi ya njaa kama Sudan? Haya maendeleo yote hawayaoni au wanawaoneawivu?
Nisaidieni jamani maswali ni mengi.
Hivi hawa waarabu hawajui kuwa wanyarwanda (hasa watutsi) ni watu wenye akili kubwa kuliko wote huku Africa? Hawajui wanyarwanda ni wayahudi weusi waliopotea njia kutokea Israeli? Sasa inakuwaje wanabania VISA wanyarwanda halafu manchi ya ajabu ajabu kama Tanzania yanapeta? Yaani Super Power Rwanda ni ya kufananishwa na Burundi na Togo?
Hawajui Rwanda chini ya genius Paul Kagame ni namba moja kwa teknolojia Africa nzima? Hawajui huku Rwanda hakuna mgao wa umeme wala maji? Intaneti ni bure, barabara zetu zote lami! Hawajui Rwanda usalama ni kama huko Dubai tu watu wanalala milango wazi? Hawajui kuwa Rwanda ina viwanda vya magari na smartphone na hivyo ajira huku zipo nje nje? Hawajui kuwa Rwanda inakaribia kurusha satellite yake yenyewe?
Yaani kweli wanadai kuwa watutsi wanakwenda UAE kudangadanga mpaka wanaoverstay na kugeuka wahamiaji haramu? Yaani wanamaanisha kuwa Rwanda ni nchi ya njaa kama Sudan? Haya maendeleo yote hawayaoni au wanawaoneawivu?
Nisaidieni jamani maswali ni mengi.