Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Haya ninmashindano ya umahiri katika uokoaji, yanahusika MAJESHI mbalimbali na tactical units. .wenzetu Kenya kwa mwaka huu wamepeleka vikosi vitatu, nchi zingine zilizopeleka MAJESHI Yao ni Rwanda, South Africa .nk.
Nashauri MAJESHI YETU yawe yanashiriki pia Ili kujipima uwezo wao wakilinganishwa na wengine wenye uwezo Zaidi.
Nimeambatanisha link ya hayo mashindano it's so interesting
Nashauri MAJESHI YETU yawe yanashiriki pia Ili kujipima uwezo wao wakilinganishwa na wengine wenye uwezo Zaidi.
Nimeambatanisha link ya hayo mashindano it's so interesting