Haya ninmashindano ya umahiri katika uokoaji, yanahusika MAJESHI mbalimbali na tactical units. .wenzetu Kenya kwa mwaka huu wamepeleka vikosi vitatu, nchi zingine zilizopeleka MAJESHI Yao ni Rwanda, South Africa .nk.
Nashauri MAJESHI YETU yawe yanashiriki pia Ili kujipima uwezo wao wakilinganishwa na wengine wenye uwezo Zaidi.
Nimeambatanisha link ya hayo mashindano it's so interesting
CCM SWAT ,UVCMM SWAT,CHAWA SWAT,MGUFULI SWAT.
Makundi hatari mossad inasubiri na USA SWAT.
Ukikutana nao hapa JF CCM SWAT mtu anamiliki ID 6 kujibu hoja za kipuuzi kisa ccm
CCM SWAT ,UVCMM SWAT,CHAWA SWAT,MGUFULI SWAT.
Makundi hatari mossad inasubiri na USA SWAT.
Ukikutana nao hapa JF CCM SWAT mtu anamiliki ID 6 kujibu hoja za kipuuzi kisa ccm