UAE visa-free travel: Over 80 nationalities can enter with a visa on arrival

Until Africans learn to be independent and self-sufficient Africa will never be respected.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Huna akili,umeandika kisha ukajipinga humo humo wewe mwenyewe.
 
Ungekuwa na akili ungeonesha nilipojipinga badala ya kukimbia hoja, ninyi endeleeni tu kuukimbia ukweli sijui mtaukimbia mpaka lini, wewe mwenyewe uko kwa wazungu na hauko huko kwa waarabu unaowapenda na kudhani siyo wabaguzi
Unawashwa?
 
Kataaa UMASKINI
 
Halafu wanalazimisha kuwa Tanzania ni neighbouring country na UAE wakati Visa tu hatumo kabisa.
Tatizo wabongo tunaharibu wenyewe, pasi zetu wanazo mpaka wapopo na hawajui hata neno moja la Kiswahili. Mpaka mwaka 1995 tulikuwa tunaenda UK bila viza. Tujanazana kule weee mpaka wakaweka limit na kutaka tuingie kwao kwa viza. Sasa inakula kwetu, tunalalamika.
 
Halafu hizo passport zetu wahindi , waarabu na wageni wengine wanazo kwa wingi huku wanongo wenyewe wakizikosa kabisa au wakizipata kwa taabu sana.
 
Hadi sisi wa mchamba wima hatupo?watakuwa wamesahau tu kutuorodhesha
 
brazaj mbona hampo hapa licha ya kushobokea hawa watu miaka yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…