Ualimu na Upolisi kipi bora?

mr iko press

Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
56
Reaction score
3
Habari zenu wakuu!! mimi nategemea kufanya mtihani wa kidato cha 6 mwaka huu, nimesoma mchepuo wa sanaa {arts} na malengo yangu nikuwa mwalim lakin leo tumetangaziwa na mkuu wa shule kuwa kuna form za upolisi zimetoka kama kuna mtu anayetaka ajaze, nikifikiria ajira za ualimu kwa upande wa arts tumeambiwa baadae ztakuwa tatizo sasa nipo njia panda niende upolsi au nisubirie matokeo niende chuo kikuu? ushauri wenu jamani!!!
 
Kaka jua kwenye maisha yako kuwa wazo linalokujia kwanza hilo ndo wazo kwa nakupa mfano ukipata pesa na kusema nataka kununua nyumba bac nunua nyumba ucje ukafika njiani ukakutana na mtu akakwambia kwanini ucnunue gari?????xa be car
 
My take: Jaza hizo form za upolii na intavyuu ikiwepo fanya tu maana huyajuia ya mbele, hutopungukiwa kitu kwa kufanya hivyo na sio lazima uende.
 
AISEE WEWE JAZA TU,, USIIaCHE HIYO NAFASI.
UKIFANIKIWA UJUE NDO MUNGU ALIKOKUPANGIA HUKO.
 
Jua pakuanzia kabla ya kujua pakwenda.
Jaza hizo fumu, mengine yakuja baadae pindi tumbo lako likiwa limushiba.
 
Jaza, uraiani huku kuna msururu wa wanaoishia kukaa bila kufanya kazi kwa fani walizosomea
 
upolisi dili ualimu dirisha kaka!..posho ya msosi ya askari ni sawa na mshahara wa mwalimu mwenye diploma!
 
upolisi dili ualimu dirisha kaka!..posho ya msosi ya askari ni sawa na mshahara wa mwalimu mwenye diploma!

Acha ukuda wewe mbona unataka kuwadhalilisha walimu? Yaani posho ya msoc ya polic ndo ilingane na mshahara wa mwalimu wa dip? Kijana kuwa makini na kauli zako ambazo hazina ukweli.
 
Me kaz yenye shift za kulinda usiku...hapana kw upande wangu, watu walale na wake zao huko me natembea na SMG mgongoni
 
Yesu alifanya kazi ya kutoa ELIMU lakini mwisho wa siku askari ndio walimtundika msalabani hivyo chagua moja kusuka au kunyoa.
 
Mm nakushauri ujaze tu ili badae uwe na options zingine matokeo yakitoka
 
nakushaur ujaze then baadae utafanya option coz huwez jua what wil happen tommorow
 
upolisi dili ualimu dirisha kaka!..posho ya msosi ya askari ni sawa na mshahara wa mwalimu mwenye diploma!

wewe ---- acha zarau watu hawaishi kutegemea mishahara na posho fanya miradi ukiajiriwa serikarini ni dhamana ya kupata mikopo bila kuweka ati ya nyumba.niambie kigogo gani ambaye hafanyi biashara pamoja wana posho kubwa.tumia akili ww kama huna comment husikejiri fani .
 
Acha ukuda wewe mbona unataka kuwadhalilisha walimu? Yaani posho ya msoc ya polic ndo ilingane na mshahara wa mwalimu wa dip? Kijana kuwa makini na kauli zako ambazo hazina ukweli.

Jaza form uende polisi kwani mshahara wa mtu wa diploma ya ualimu ni mdogo ukilinganisha na Police constable mwenye form four yake ya division four point 28
 
Jitahidi ukifanya vizuri form six usome degree ya law enforcement... Halafu ndo uende police ila usiwe unategemea mkopo.

Hiyo course inatolewa kwa watu ambao tauari wapo ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…