Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
NAJUA UNACHUKUA EDUCATION MUCCoBS,NENDA KAPOKEE TAKE HOME 385,000/-,MWENZIO AKACHUKUE 685,000/,ALAFU WEWE NDIYE KICHWA MAJI UNAEKUBALIANA NA KUPATA KAMSHAHARA KIDUCHUwatanzania ni( vichwa maji) TOO LATE
wewee upolisi mwisho wa kuajiri umri ni miaka 35 kwa wenye degree,form4 ndio mwisho miaka(wanasema 25 mwisho)?jaman kaka nakuombea kafanye interview mungu akusaidie upate
WALA HUJUI KITU NINAUSHAHIDI KUNA JAMAA ANA CERTIFIACATE YA LAW KAPEWA UKOPLO AMBAO MSHAHARA NI KAMA 300,000/- UKITOA KODI TAKE HOME NI KAMA 240,000/ +150,000/-= 390,000/- WAKATI MWALIMU MWENYE DEGREE 385,000/- ,NA KAMA NI HELA ZA PEMBENI HUKO KWENYE UPOLISI ZIPOOO
Polisi halipwi kutokana na elimu bali ngazi ya mshahra inategemea rank uliyonayo, mfano kama una PHD utalipwa sawa na mwenye diploma kama mnafanana rank/cheo cha kipolisi, ni hivyo katika majeshi yote, nakushauri utafute kazi nyingine au endelea kusoma zaidi.
WALA HUJUI KITU NINAUSHAHIDI KUNA JAMAA ANA CERTIFIACATE YA LAW KAPEWA UKOPLO AMBAO MSHAHARA NI KAMA 300,000/- UKITOA KODI TAKE HOME NI KAMA 240,000/ +150,000/-= 390,000/- WAKATI MWALIMU MWENYE DEGREE 385,000/- ,NA KAMA NI HELA ZA PEMBENI HUKO KWENYE UPOLISI ZIPOOO
Napinga sana hoja ya kumake hela ya ziada ukiwa kazini kwasababu most of th times si ya halali....kwaiyo unataka n mshkaji ale rushwa? Haipendez kwa jesh la polisi tunalolitaka bana...
Mind u sijamkataza kwenda ila aende akijua kwann anaenda not because he was misinformed!
WALA HUJUI KITU NINAUSHAHIDI KUNA JAMAA ANA CERTIFIACATE YA LAW KAPEWA UKOPLO AMBAO MSHAHARA NI KAMA 300,000/- UKITOA KODI TAKE HOME NI KAMA 240,000/ +150,000/-= 390,000/- WAKATI MWALIMU MWENYE DEGREE 385,000/- ,NA KAMA NI HELA ZA PEMBENI HUKO KWENYE UPOLISI ZIPOOO
acha uzuzu weweee umeng'ang'ania mwl wa bachelor anapokea take home 385,000......HUJUI KITU LKN NDIO UNAONGOZA KUCHANGIA'' GROSS YA MWL WA BACHELOR NI 532,000 TAKE HOME haipungui 430,000... Mbwiga wewe
acha uzuzu weweee umeng'ang'ania mwl wa bachelor anapokea take home 385,000......HUJUI KITU LKN NDIO UNAONGOZA KUCHANGIA'' GROSS YA MWL WA BACHELOR NI 532,000 TAKE HOME haipungui 430,000... Mbwiga wewe
Hahahah vanmedy nimekusamehe bure..maana nimeshtuka matusi yote hayo kwangu kama vile ni mimi niliyesema hayo uliyoyaquote..naomba utoe taarifa kuwa yamfikie SAMITI!
Nilipopangwa ualimu hata familia cwezi kuipeleka na kunihamisha hawataki c bora huko wanahamahama? Nwayz thanx for ur concern.
430,000/- MAKATO YA HESLB KILAZA MKUBWA ,NI POLISI /MWANAJESHI MWENYE DIPLOMA ANAMZIDI MWALIMU MWENYE DEGREEacha uzuzu weweee umeng'ang'ania mwl wa bachelor anapokea take home 385,000......HUJUI KITU LKN NDIO UNAONGOZA KUCHANGIA'' GROSS YA MWL WA BACHELOR NI 532,000 TAKE HOME haipungui 430,000... Mbwiga wewe
Acha mbege kama hujui ow nyamaza430,000/- MAKATO YA HESLB KILAZA MKUBWA ,NI POLISI /MWANAJESHI MWENYE DIPLOMA ANAMZIDI MWALIMU MWENYE DEGREE
sikiliza wewe kilaza,ukiingia na diploma police unapewa usajenti polisi ni 380,000/-,acha mbege kama hujui ow nyamaza
posho 150,000/-, takehome 320,000/-+150,000/-,jumla ya mapato ni 470,000/-,wakati mwalimu degree ni 430,000/-,toa makato ya heslb kinachobaki ni pumbaaa
iko wazi kwamba mwanajeshi/polisi mwenye certificate ana mzidi mwalimu mwenye degree kwa mapato anayebisha aseme ni mpe hesabu wazembe mliochukua educationacha mbege kama hujui ow nyamaza
hamna mzembe wewe then ushahama kule mchamba wimaiko wazi kwamba mwanajeshi/polisi mwenye certificate ana mzidi mwalimu mwenye degree kwa mapato anayebisha aseme ni mpe hesabu wazembe mliochukua education
sasa unaongea wakati ujui soma hapo juu utaona mshahara wa mwalimu we endelea kufukuza wanywa gongosikiliza wewe kilaza,ukiingia na diploma police unapewa usajenti polisi ni 380,000/-,
posho 150,000/-, takehome 320,000/-+150,000/-,jumla ya mapato ni 470,000/-,wakati mwalimu degree ni 430,000/-,toa makato ya heslb kinachobaki ni pumbaaa