ccr airtel
Member
- Mar 27, 2011
- 96
- 13
ofcoz binadam tumeumbwa tofauti...ila kwa mimi mtu akinistua kuhusu my gal kwamba anacheat nitamuona kama mkombozi wangu na rafiki wa kweli (kama taharifa hizo zitakua ni za kweli)...we unayedhan hamna haja ya kuambiwa una small mind...mawazo mgando kweli kweli
Kwakweli mimi staki kuambiwa kabisa,kama ni usaliti niuhisi au kuona mwenyewe.kama kila kitu kinakwenda sawa na naaminishwa vya kutosha na malavedave kibao,ya nini kufukunyua yatakayoniumiza?
nimekumissjamani mambo mengin e
yanauma sana mie borea nisiambiwe
maana hapo hujui mtu anakwambia hayo kwa nia gani
1. Anawaonea wivu
2.ni kweli yametokea
siku hizi ngumu sana kuamini maneno ya watu
saa nyingine hata ndugu wanawivu nawe..
Kwa mimi nisipohakikisha kwa haya macho basi cha kuambiwa
sintokielewa..
Binafsi hua nafikiria siku nikiwa kwenye mahusiano alafu mwenzangu akawa sio mwaminifu...mtu wangu yeyote wa karibu akajua ningependa aniambie.Na ikitokea asipofanya hivyo nikaja kugundua alijua akanyamaza ntamkasirikia.
Faida ya kuambiwa ni kwamba unajua kinachoendelea na unajipanga kukabiliana na ulichoambiwa.Ubaya ni pale unapotembea kichwa juu ukijua umepata kumbe kila mtu anajua umepatikana.Wanakuchora kwa maana nyingine.
Je wewe unaonaje?Uambiwe au uachwe kizani?
Hata mienimekumiss
Jamani mambo mengin e
Yanauma sana mie borea nisiambiwe
maana hapo hujui mtu anakwambia hayo kwa nia gani
1. Anawaonea wivu
2.ni kweli yametokea
Siku hizi ngumu sana kuamini maneno ya watu
saa nyingine hata ndugu wanawivu nawe..
Kwa mimi nisipohakikisha kwa haya macho basi cha kuambiwa
sintokielewa..
Tatizo ni hasa vyie wanawake mnambiwa na wanawake wenzenu kuwa mumeo/bf anatembea na mwanamke mwingine hamkubali. Nimeshughudia sana hili na marafiki wangu wa kike wengi walishawahi kuniomba ushauri wafanye nini b'se rafiki yao kaziba masikio hataki kusikia wanachomwambia.
Mhhh! Lizzy Lizzy LizzyWe dearest bana...kwahiyo nikimwona desh desh niuchune??
Mwingine anajua kabisa hata kama ni kweli siwezi kumuacha hivyo anaziba masikio!
Mhhh! Lizzy Lizzy Lizzy
We dearest bana...kwahiyo nikimwona desh desh niuchune??
My dear we bora
uuchune mie kelele sitaki
maana zile kengele ulizozisikia
usiku bado zinanitibua nyongo..
Hahahahahahahah lol
Aisee mimi haitotokea SO GOD HELP MEHahahaha!Just checking juh juh just checking!Sitaki kuonekana mmbea wala kununiwa!Enhe na wewe sema nikikuona nikufanyeje?Nakuja ulipokaa alafu nakwambia shem naomba unitambulishe...sijui utaniambia ni nani wako!