ccr airtel
Member
- Mar 27, 2011
- 96
- 13
ofcoz binadam tumeumbwa tofauti...ila kwa mimi mtu akinistua kuhusu my gal kwamba anacheat nitamuona kama mkombozi wangu na rafiki wa kweli (kama taharifa hizo zitakua ni za kweli)...we unayedhan hamna haja ya kuambiwa una small mind...mawazo mgando kweli kweli