Uaminifu (100%) ktk ndoa inawezekana?

Uaminifu (100%) ktk ndoa inawezekana?

If there is any cooking at all....keeping it out of sight!
BTW: The word is around kwamba umeanza phase 3 ya therapy...

Therapist kageuka ghafla dume.....babu kaamua kupona mpaka orijino therapisti atakapomaliza likizo....:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Naona umenianza mapema leo haya bwana:smile-big::smile-big:

umemuanza mwenyew...tena uache kumchokoza bruda wangu..
@ babu...jana nikuwa geto tu km wewe ulivyokuwa umejifungia kwa mjukuu!!!!!
 
umemuanza mwenyew...tena uache kumchokoza bruda wangu..
@ babu...jana nikuwa geto tu km wewe ulivyokuwa umejifungia kwa mjukuu!!!!!

Thats an action calling....you have been warned!
 
Leo nakuja tujifungie wote...

teh teh jaman sweeeeeeeetiee hauishi kunipa rahaaa?...ayaaaaa sawa mpz..
ngoja niende nikaanike nchago ule juan manake una kungun uo mwee wasije wakatuarbia starehe zetu bure...
usiwaambie dig dig tutakapokuwa wasije wakaja kuvurumisha mawe juu ya bat bure!!!!!!!!!
 
Mjukuu ni daktari, sio physiotherapist....nakusoma....ila si atakua na kaujuzi flani ka physiotherapy? :doh::doh:....

Labda ka Vidole wakati anikata kucha....ka kiuno hana kabisa:nono::nono::nono:
 
Back
Top Bottom