Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatuchota.Dah uzi umenigusa sana , binafsi napenda kuwa mwaminifu kwa kila mtu na kuheshimu kila mtu , napenda kila mtu afurahi na ninatamani iwe hivyo , japo siwezi kusababisha hilo kwa kila mtu na viumbe vyote , hiyo ndiyo huzuni yangu kuu.
😀😀😀😀😀Unatuchota.
Mzee wangu kitambo sanaDah uzi umenigusa sana , binafsi napenda kuwa mwaminifu kwa kila mtu na kuheshimu kila mtu , napenda kila mtu afurahi na ninatamani iwe hivyo , japo siwezi kusababisha hilo kwa kila mtu na viumbe vyote , hiyo ndiyo huzuni yangu kuu.
Dah mda sana mkuu , niambie kiongozi?Mzee wangu kitambo sana
nice maana matapeli wa JF wametapakaa saiziSkupigwa tukio mkuu.
Sure bro., tusake tu pesa kwa akili .Ebana fresh kabisa kaka.
Tupo na Daslam yetu.
😆😆😆Ukikaa vibaya utalia hadi kamasi likutoke, hivyo vitu ni kama hakuna tena saivi.
Sio kwelUmestuka
Daah ila wee jamaa 😂😂😂 miyeyusho kinomer.Unatuchota.
Tafuta pesa mkuu,jenga,somesha,tunza familia yako...heshima utaipata kwa chawa na siku ya msiba wako ila uaminifu utaukuta mbinguni kama utapata post huko.Dah uzi umenigusa sana , binafsi napenda kuwa mwaminifu kwa kila mtu na kuheshimu kila mtu , napenda kila mtu afurahi na ninatamani iwe hivyo , japo siwezi kusababisha hilo kwa kila mtu na viumbe vyote , hiyo ndiyo huzuni yangu kuu.