Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya mshikaji njoo uwa rafiki yangu aisee ,Mimi nawataka Wana wa hivyo Ila Sasa wengi tunakosana bar maana wakilewa hawawi Kama tulivyo kubalianaNo ephen_ unakosea kusema nawachota nikisema niliyo fanya kuhusu watu na humanity mtasema majivuno japo kwa udogo kulingana na uwezo wangu.
Pombe haramu familiar inapunguza mpaka nguvuu za kiumeOya mshikaji njoo uwa rafiki yangu aisee ,Mimi nawataka Wana wa hivyo Ila Sasa wengi tunakosana bar maana wakilewa hawawi Kama tulivyo kubaliana
Sure bro kiufupi nina moyo mdogo sana kwa wahitaji wa kwel japo sina kitu.Oya mshikaji njoo uwa rafiki yangu aisee ,Mimi nawataka Wana wa hivyo Ila Sasa wengi tunakosana bar maana wakilewa hawawi Kama tulivyo kubaliana
Bless up Kaka ,nakubali Sana mzeeSure bro kiufupi nina moyo mdogo sana kwa wahitaji wa kwel japo sina kitu.
Shabani kuhusu pombe kwasasa naomba uniache tu kwa ninayoyapitia nadhani ndiye rafiki anayejua naishi vipi hivyo nadhani wakati mwingine nitajitafakari Ila sio Sasa.Pombe haramu familiar inapunguza mpaka nguvuu za kiume
Over 👽
Sure bro kwa hichi kidogo nilicho nacho nagawana na ndugu zangu na hiyo ndio furaha yangu.Bless up Kaka ,nakubali Sana mzee
Sawasawa kamanda pole sana kwa stress unazozipitia, umeachwa nini familiar umeamua ujipooze na pombe.Shabani kuhusu pombe kwasasa naomba uniache tu kwa ninayoyapitia nadhani ndiye rafiki anayejua naishi vipi hivyo nadhani wakati mwingine nitajitafakari Ila sio Sasa.
Ahsante
Dunia Ina mengi KakaSawasawa kamanda pole sana kwa stress unazozipitia, umeachwa nini familiar umeamua ujipooze na pombe.
I appreciateDunia Ina mengi Kaka
Tupambane kesho ni pazuri