Uaminifu na Heshima

Dah uzi umenigusa sana , binafsi napenda kuwa mwaminifu kwa kila mtu na kuheshimu kila mtu , napenda kila mtu afurahi na ninatamani iwe hivyo , japo siwezi kusababisha hilo kwa kila mtu na viumbe vyote , hiyo ndiyo huzuni yangu kuu.
 
Dah uzi umenigusa sana , binafsi napenda kuwa mwaminifu kwa kila mtu na kuheshimu kila mtu , napenda kila mtu afurahi na ninatamani iwe hivyo , japo siwezi kusababisha hilo kwa kila mtu na viumbe vyote , hiyo ndiyo huzuni yangu kuu.
Tafuta pesa mkuu,jenga,somesha,tunza familia yako...heshima utaipata kwa chawa na siku ya msiba wako ila uaminifu utaukuta mbinguni kama utapata post huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…