Unatuchota.Dah uzi umenigusa sana , binafsi napenda kuwa mwaminifu kwa kila mtu na kuheshimu kila mtu , napenda kila mtu afurahi na ninatamani iwe hivyo , japo siwezi kusababisha hilo kwa kila mtu na viumbe vyote , hiyo ndiyo huzuni yangu kuu.
πππππUnatuchota.
Mzee wangu kitambo sanaDah uzi umenigusa sana , binafsi napenda kuwa mwaminifu kwa kila mtu na kuheshimu kila mtu , napenda kila mtu afurahi na ninatamani iwe hivyo , japo siwezi kusababisha hilo kwa kila mtu na viumbe vyote , hiyo ndiyo huzuni yangu kuu.
Dah mda sana mkuu , niambie kiongozi?Mzee wangu kitambo sana
nice maana matapeli wa JF wametapakaa saiziSkupigwa tukio mkuu.
Sure bro., tusake tu pesa kwa akili .Ebana fresh kabisa kaka.
Tupo na Daslam yetu.
πππUkikaa vibaya utalia hadi kamasi likutoke, hivyo vitu ni kama hakuna tena saivi.
Sio kwelUmestuka
Daah ila wee jamaa πππ miyeyusho kinomer.Unatuchota.
Tafuta pesa mkuu,jenga,somesha,tunza familia yako...heshima utaipata kwa chawa na siku ya msiba wako ila uaminifu utaukuta mbinguni kama utapata post huko.Dah uzi umenigusa sana , binafsi napenda kuwa mwaminifu kwa kila mtu na kuheshimu kila mtu , napenda kila mtu afurahi na ninatamani iwe hivyo , japo siwezi kusababisha hilo kwa kila mtu na viumbe vyote , hiyo ndiyo huzuni yangu kuu.